Basi la mashabiki lililoenda Lesotho lageuka la walevi na anasa. Hadi sasa hawajafika Dar toka watoke Lesotho

Shem rudi huko hakukufai ujue.. yale mambo yetu huko sidhani kama yanapatikana.. Yale ambayo tulikosa siku ile pale Serena, remember..?🙂🙂
Hahahah
Shem bhana.
Huku kuna kitu kingine cha snake, kipimo cha kijiko...unaokotwa Mtaroni.
Mwanamke ukiwekewa hiko, mwanaume anakuwa kama kashika remote.
Hatari sana shekhe.

Juzi nilionja pale Kigali, hahahah
Niliomba kwenda kulala bila usumbufu
 
Hahahah
Shem bhana.
Huku kuna kitu kingine cha snake, kipimo cha kijiko...unaokotwa Mtaroni.
Mwanamke ukiwekewa hiko, mwanaume anakuwa kama kashika remote.
Hatari sana shekhe.

Juzi nilionja pale Kigali, hahahah
Niliomba kwenda kulala bila usumbufu
Mhhh shem, na kweli ukalala bila ya kusumbuliwa[emoji848][emoji848]
 
Ni stess za kufungwa inabidi tuwaelewe tu.

La muhimu Suka naye asije kushiriki kupiga vyombo.
 
Acha unoko mwajuma nichokonoe
 
Sasa kama pesa ipo na kufungwa wamefungwa acha wajipoze na starehe zao.

Watakuambia acha watumie ni pesa zao.
 
Ningekuwepo ningeshauri tupitie namibia angola drc ,kongo brazzaville,ivory cost,ghana,sieraleon,mauritania,timbuktu,tunisia,nisri,moroko,libya,sudan,ethiopia,somalia,kenya halafu tunatokea mombasa tukifila Tanga ni siku ya uchaguzi 2020.
 
Ningekuwepo ningeshauri tupitie namibia angola drc ,kongo brazzaville,ivory cost,ghana,sieraleon,mauritania,timbuktu,tunisia,nisri,moroko,libya,sudan,ethiopia,somalia,kenya halafu tunatokea mombasa tukifila Tanga ni siku ya uchaguzi 2020.
Haha! naunga mkono hoja
 
Mwenye haraka ashuke, watu wanaondoa stress bana
 
Tochi banaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…