Basi la Ngasere linalokwenda Tunduma limepata ajali asuhuhi ya leo, Julai 15, 2025

Basi la Ngasere linalokwenda Tunduma limepata ajali asuhuhi ya leo, Julai 15, 2025

THE BEEKEEPER

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
1,462
Reaction score
7,157
Taarifa nilizozipata Ngasere ya kwenda Tunduma imepata ajali leo asubuhi, Julai 15, 2024. Mto nyomizi huko mbozi mkoa wa songwe Kwa taarifa watu wamekufa kwa idadi sijui ila kuna jamaa alikuwa kama Manager ya Ngasere Tunduma kafariki, alikuwa anaitwa Henry mtu wa Gairo.

Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.

FB_IMG_1721032934723.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1721038729646.jpg
    FB_IMG_1721038729646.jpg
    41 KB · Views: 12
Duuuu asilimia kubwa ya accident zinatokana na uendeshaji mbaya
Madeleva wakielewa hili tutapunguza haya matukio sana tena sana
 
Dereva kabla hajaanza safari anashtua master au cooker ya elfu mbili tuuuu alcohol 40% hakuna gharama kabisa isee hizo pombe🤣🤣
 
Umeshindwa hata kusema limepata ajari wapi….unahisi jamii forum kuna mashindano ya kutoa habari? Kama huna habari iliyo kamilika acha kiherehere …
 
Umeshindwa hata kusema limepata ajari wapi….unahisi jamii forum kuna mashindano ya kutoa habari? Kama huna habari iliyo kamilika acha kiherehere …
Jamaa atakua upinde. Anawahi kujisafisha
 
Duuuh,,RIP,,nimepanda hio gari mwaka 2020
 
Ajari imetokea eneo gani? Kwa picha niliyoona hapo, sidhan km kuna majeruhi, gari limevuka had kingo ya Daraja?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ajari imetokea eneo gani? Kwa picha niliyoona hapo, sidhan km kuna majeruhi, gari limevuka had kingo ya Daraja?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Myovizi
 
Taarifa nilizozipata Ngasere ya kwenda Tunduma imepata ajali leo asubuhi, Julai 15, 2024. Mto nyomizi huko mbozi mkoa wa songwe Kwa taarifa watu wamekufa kwa idadi sijui ila kuna jamaa alikuwa kama Manager ya Ngasere Tunduma kafariki, alikuwa anaitwa Henry mtu wa Gairo.

Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.

View attachment 3042846
Kafara hilo
 
Back
Top Bottom