Basi la yanga GSM inabidi wabadili gia angani kukwepa aibu na fedhea

Basi la yanga GSM inabidi wabadili gia angani kukwepa aibu na fedhea

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
1,775
Reaction score
3,593
Ukitizama tambo za mashabiki wa yanga juu ya ujio wa bus jipya huko mitandaoni ni jambo linalotatanisha na kustajabisha sana.
Sote tumeona picha zao wanazotumia huko mitandaoni ni tofauti na uhalisia kabisa.

Ningependa kuwaeleza ukweli wana yanga ile video ya dereva wao akinadi chuma chao kipya inaonyesha 100% lile bus ni TATA MAGNA (Tata marcopolo) kama la simba na sio scania Irizar kama mashabiki wao wanavyodai hivyo basi kwa hizi kelele siku bus likija toka kama tata patakuwa hapatoshi huku mitandaoni ni bora GSM wakaenda watafutia tu wana yanga bus ambalo mashabiki wao wanalipost kuwaepushia aibu na fedhea baadae.

Bus wanayoipost ni Scania irizar century bus mabayo ni outdated kwani ni toleo la miaka za zamani kwani hazizalishwi tena yapata zaodi ya miaka 10 sasa. Yao ni mtumba au mpya?

Tunajua ni tata na namba ni T*** DWN [emoji28][emoji28]
 
Kumbe kuna uwezekano namba D itatoboa mwaka huu
 
Irizal Waririziii [emoji3][emoji3]
IMG-20210715-WA0026.jpg
 
Tata marcopolo mbona ni gari nzuri tuu maana mashine Tata body ya marcopolo sasa inategemeana na hiyo marcopolo ni series ipi kwa sababu hata hizo Iriza zipo za matoleo ya nyuma na kwa mimi niliepanda marcopolo G 7 na Iriza I6S G 7 naona wapo sawa tuu zipo confortable sana hizo gari hauchoki hata kwa umbali mrefu tunaosafiri...
 
Una maana hizo TATA za mashabiki wa YANGA ni za wakati ule zilizo jaza wanajeshi wetu wakati wa VITA VYA KAGERA?
 
Tata marcopolo mbona ni gari nzuri tuu maana mashine Tata body ya marcopolo sasa inategemeana na hiyo marcopolo ni series ipi kwa sababu hata hizo Iriza zipo za matoleo ya nyuma na kwa mimi niliepanda marcopolo G 7 na Iriza I6S G 7 naona wapo sawa tuu zipo confortable sana hizo gari hauchoki hata kwa umbali mrefu tunaosafiri...
TATA marcopolo hawajawahi kuwa serious mkuu!
 
Katika maelezo yako inaonesha wazi uandishi wako ulioongozwa na maumivu ya moyo!! Wacha nikuoneshe ulichoandika:
Moja: "...lile bus ni TATA MAGNA (Tata marcopolo) kama la simba na sio scania Irizar kama mashabiki wao wanavyodai..."
Mbili: "...Bus wanayoipost ni Scania irizar century bus mabayo ni outdated..."
Ushauri wangu, achana nao Mkuu. Wewe si bingwa, unaumia nini?🤣🤣
 
Back
Top Bottom