Basi limetekwa kabla halijaegeshwa vizuri

Basi limetekwa kabla halijaegeshwa vizuri

Geechie

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2015
Posts
977
Reaction score
761
Baada ya Tambo nyingi mapicha picha ya zile penalty na kuwaletea dharau wale jamaa WA uturuki,
Jamaa wakaamua KUSHTAKI kwa mtu wanaemuamini na jirani yao karibu na kwao brother Conte,kilichojiri ni zaidi ya kipigo cha mbwa mwizi wazee WA kupaki basi,maana Leo basi limetekwa kabla halijatoka ubungo......Pedro huyo

Huku wakikumbushwa kuwa game inayofuatia ni Man City na sio mbali jumatano tu.
View attachment 423059[/ATTACH]
1477242452052.png


1477242441773.png


1477242566879.png
 
Goli la Kante na kazi aliyoonyesha ukifananisha na bei ya mfaransa mwenzake unasikitika,Pia naona katika utangazaji WA mpira Garry Neville ni snitch ameonyesha kuumia sana Leo kila anapotoa maoni yake.
 
Back
Top Bottom