Basi linalolamikiwa na upande ule

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Baada ya upande A kununua bus brand new la Tata Marcopolo na kuachana na lile la msaada walilopewa 2012 na Kilimanjaro Lager wadau wa upande B walilalamika sana na kuwashauri upande A waachane nalo siyo zuri bora lile yutong la model ya 2010 linalofanana nao.

Angalia hapa lilivyo, full ma screen, wi-fi...duuuh

 
Dunia haina usawa kabisa,wenzenu wanatafuta pesa za kununua vyandarua kwenye hostel zao nyinyi Simba mnatumia pesa kufanya anasa,kama basi la timu si mlikua nalo,hili jipya la nini sasa?
 
Ivi MO ange nunua basi kama la Azam mbumbumbu fc si wangehisi wako juu ya dunia!! Kagera sugar ndio wakwanza kununua basi ambalo baadae MO amenunua basi Kama hilo na kuwapa Simba yaani Kagera Sugar wanaona gari la kawaida na atujasikia promo, Mbumbumbu fc wame nunua TATA la India kelele mitandaoni hazi ishi, ivi ingekua gari linatokea kampuni Kama Marcopol au Benz n.k ingekuaje!!! Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea.
 
Marcopolo ni body tu mkuu inaweza miwa scania au kampuni nyingine

Basi hii inaitwa Tata Marcopolo G7
 
Mkuu umeongea Kwa uchungu Sana, inaonekana Uzi ulikulenga wewe, pole Sana mkuu, Usijali nyie mtanunua Hilo la Benz maana maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua
 
Ivi MO ange nunua basi kama la Azam mbumbumbu fc si wangehisi wako juu ya dunia!! Kagera sugar ndio wakwanza kununua basi ambalo baadae MO amenunua basi Kama hilo na kuwapa
Hili nalo ni tatizo! Utopolo wanaacha kuzungumzia basi lao, wanazungumzia ufahari wa basi la Azam na Kagera Sugar!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…