Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fajilia=familia huko shuleni ulenda kufanya nini?Hilo panda wewe na fajilia yako tu.
Jifilia yako huwezi ipandisha ?Hilo panda wewe na fajilia yako tu.
Tatizo ni pale abiria anaingia na viatu vilivyojaa matope na begi lake limejaa sangara wakavu, viazi, matunda, nk. eti ni zawadi
Abiria wa kupanda basi hilo hatakiwi kuingia na kitu chochote kila zaidi ya bei lake tu. Abiria wanaotakiwa humo kwenye hilo Basi ni abiria 20 tu na kila mmoja anatakiwa alipe Nauli ya Shilingi laki 5 kutoka Dar kwenda Mwanza na Mwanza kurudi Dar Safari ya kwenda na kurudi. Abiria watapewa chakula bure wakiwa safarini.Tatizo ni pale abiria anaingia na viatu vilivyojaa matope na begi lake limejaa sangara wakavu, viazi, matunda, nk. eti ni zawadi
Hivi laki tano kwa bombardia za magufuli hufiki kweli kwa hiyo ruti au ni utalii wa barabarani tu?Abiria wa kupanda basi hilo hatakiwi kuingia na kitu chochote kila zaidi ya bei lake tu. Abiria wanaotakiwa humo kwenye hilo Basi ni abiria 20 tu na kila mmoja anatakiwa alipe Nauli ya Shilingi laki 5 kutoka Dar kwenda Mwanza na Mwanza kurudi Dar Safari ya kwenda na kurudi. Abiria watapewa chakula bure wakiwa safarini.
Hivi Dar Es salaam-Mwanza kwa bombardier ni bei gani? Samahani lkn.Abiria wa kupanda basi hilo hatakiwi kuingia na kitu chochote kila zaidi ya bei lake tu. Abiria wanaotakiwa humo kwenye hilo Basi ni abiria 20 tu na kila mmoja anatakiwa alipe Nauli ya Shilingi laki 5 kutoka Dar kwenda Mwanza na Mwanza kurudi Dar Safari ya kwenda na kurudi. Abiria watapewa chakula bure wakiwa safarini.
kati ya laki 3.Hivi Dar Es salaam-Mwanza kwa bombardier ni bei gani? Samahani lkn.