Basi zuri Mbeya- Mwanza

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Wakuu salaam,

Ni basi gani zuri na nauli bei gani? Nataka niizunguke Tanzania kidogo.
Natanguliza shukrani
 
Hongera kwa kuamua kufanya utalii wa ndani.
 
Safari Njema mkuu! Mungu awatangulie
 
Kusafiri kwa ndege haihitaji hela mkuu... Ni mipango tu. Kara ticket yako mwezi mmoja kabla na utatumia nauli sawa na anaesafiri kwa basi.
Mkuu mwez mmoja kabla emmergency zaweza kutokea. Kuna mwaka flan lak yangu iliwahi kuenda hivi hivi
 
Mkuu mwez mmoja kabla emmergency zaweza kutokea. Kuna mwaka flan lak yangu iliwahi kuenda hivi hivi
Ukiogopa emergencies huwezi fanya kitu mkuu! Maisha ni kuchukua risks. Watu tunajinyima starehe na kujibana kutunza hela ili tununue magari, emergency inaweza tokea, ajali za bodaboda kila siku... Nikivunjika miguu je? Unaweka pembeni emergencies na kuomba Mungu zisitokee huku unaendelea na mipango yako
 
Reactions: bbc
Yeah sure mkuu. Sometimes u need to be a risk taker. Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…