BASKET OF DEPLORABLES kauli iliyomkosesha Urais Hilary Clinton,vipi Alie waita watu MBWA ???

BASKET OF DEPLORABLES kauli iliyomkosesha Urais Hilary Clinton,vipi Alie waita watu MBWA ???

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
Ukiwa Kiongozi wa Taasisi yeyote kubwa,lazima uwe na HIGH EMOTIONAL INTELLIGENCE, ukiwa Kiongozi na unaongozwa na hisia unajichimbia shimo mwenyewe...

Zaidi ya Mara moja tumeona Mkuu Kadhiirisha kua Ana hisia dhaifu so hapaswi kubeba hisia za watu zaidi ya million 60,.

Art Of Public Speaking

Mkuu aliwahi kujiita Chura,
Mkuu alilia mbele ya camera,

Kuna interview ya Sallim Kikeke wakati yupo BBC SWAHILI alikua anamuhoji mkuu kwa style ya PSYCHOLOGICAL MANIPULATION,Mkuu akajaa akaanza kuchamba,kasahau kua dunia nzima inamtazama,..

Kwa Aina ya mkuu tulienae silaha za wapinzani ziwe za kisaikolojia ili kumchanganya aseme asiyotaka kusema,silaha zipo tatu..

Provocation
Goading
Playing on her insecurities..

Kwenye kampeni za uchaguzi wa rais marekani mwaka 2016, Hilary Clinton alitoa boko kwenye kuongea,alisema,

"You know, to just be grossly generalistic, you could put Trump's supporters into what I call the basket of deplorables. They're racist, sexist, homophobic, xenophobic, Islamophobic"

Trump na supporters wake wakatumia kauli hiyo kum'mock Clinton,

Hillary Clinton Katika kitabu chake Cha mwaka 2017 WHAT HAPPENED akielezea matukio ya uchaguzi anasema kauli yake BASKET OF DEPLORABLES ni factor ambayo imefanya akapoteza uchaguzi ule..

Endeleeni kumchekecha atajikwaa pabaya..

“Chess is the struggle against the error.” – Johannes Zukertort

 
Ukiwa Kiongozi wa Taasisi yeyote kubwa,lazima uwe na HIGH EMOTIONAL INTELLIGENCE, ukiwa Kiongozi na unaongozwa na hisia unajichimbia shimo mwenyewe...

Zaidi ya Mara moja tumeona Mkuu Kadhiirisha kua Ana hisia dhaifu so hapaswi kubeba hisia za watu zaidi ya million 60,.

Art Of Public Speaking

Mkuu aliwahi kujiita Chura,
Mkuu alilia mbele ya camera,

Kuna interview ya Sallim Kikeke wakati yupo BBC SWAHILI alikua anamuhoji mkuu kwa style ya PSYCHOLOGICAL MANIPULATION,Mkuu akajaa akaanza kuchamba,kasahau kua dunia nzima inamtazama,..

Kwa Aina ya mkuu tulienae silaha za wapinzani ziwe za kisaikolojia ili kumchanganya aseme asiyotaka kusema,silaha zipo tatu..

Provocation
Goading
Playing on her insecurities..

Kwenye kampeni za uchaguzi wa rais marekani mwaka 2016, Hilary Clinton alitoa boko kwenye kuongea,alisema,

"You know, to just be grossly generalistic, you could put Trump's supporters into what I call the basket of deplorables. They're racist, sexist, homophobic, xenophobic, Islamophobic"

Trump na supporters wake wakatumia kauli hiyo kum'mock Clinton,

Hillary Clinton Katika kitabu chake Cha mwaka 2017 WHAT HAPPENED akielezea matukio ya uchaguzi anasema kauli yake BASKET OF DEPLORABLES ni factor ambayo imefanya akapoteza uchaguzi ule..

Endeleeni kumchekecha atajikwaa pabaya..

“Chess is the struggle against the error.” – Johannes Zukertort

Samia ni mjinga sana. Anaendesha nchi kimipasho mipasho ya taarab tu, yani hata kwenye taarab kuna taarab classic na taarab mipasho, hii yake ni taarab mipasho si classic.
 
Samia ni mjinga sana. Anaendesha nchi kimipasho mipasho ya taarab tu, yani hata kwenye taarab kuna taarab classic na taarab mipasho, hii yake ni taarab mipasho si classic.
Tunaongozwa na below average..akishinda muhula mwingine tutakua mahala pabaya sana
 
Tunaongozwa na below average..akishinda muhula mwingine tutakua mahala pabaya sana
Below average mbona unampendelea sana?

Wenzake wanacheza three dimensional chess, yeye hata drafti hajafika.
 
Below average mbona unampendelea sana?

Wenzake wanacheza three dimensional chess, yeye hata drafti hajafika.
Haha Average chess player IQ ni 95,Sasa Kama hata kwenye draft hajafika,IQ yake yakucheza solo??(bao)au karata?? By the way kwani hakuna watu wenye uwezo mzuri wa kufikiria kumuongoza??au ndio hao watu wake wa karibu wanamtemegea mitego ili afeli???mwezi huu wote Nchi imechafuka,ila yeye yupo busy anatafutia wadhamini Simba na Yanga..anajihujumu mwenyewe
 
Haha Average chess player IQ ni 95,Sasa Kama hata kwenye draft hajafika,IQ yake yakucheza solo??(bao)au karata?? By the way kwani hakuna watu wenye uwezo mzuri wa kufikiria kumuongoza??au ndio hao watu wake wa karibu wanamtemegea mitego ili afeli???mwezi huu wote Nchi imechafuka,ila yeye yupo busy anatafutia wadhamini Simba na Yanga..anajihujumu mwenyewe
Yupo kwenye tamasha Kizimkazi. Amesema yeye Chura Kiziwi hasikii.
 
Back
Top Bottom