Basketbal fans: Hivi kwa nini ni ngumu kwa mashabiki wa Kobe Bryant kumkubali Lebron James

Basketbal fans: Hivi kwa nini ni ngumu kwa mashabiki wa Kobe Bryant kumkubali Lebron James

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses amd roses..

Hii kitu naiona sana hata kwenye media. Ukiachilia mbali hali ya urafiki/kuelewana iliokuwepo kati ya Lebron James na Marehemu Kobe Bryant (RIP) bado fans wengi wa Kobe wanapata ugumu sana kumkubali Lebron James, fans wengi wa Kobe wanaomkubali pia Lebron utakuta ni die hard fans wa Lakers tu, hio inamaanisha kama Lebron asingekuwa anaichezea lakers basi ingekuwa ngumu zaidi kwa fans wa Kobe kumkubali huyu lagend.
 
Lebron james more a boy,kobe was more a man
Personality sometimes matters
 
Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.

Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.

Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
 
Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.

Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.

Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
Michael Jordan kwanza then ndo anafata Lebron James
 
Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.

Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.

Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
Ila ukilinganisha masaa na idadi ya michezo alocheza kobe na lebron bado ratio za kobe ziko juu hata kama lebron kavunja rekod ya magoli.

Ni kama vile wewe ufunge goli 5 kwenye mechi 2 na mimi nifunge goli 10 kwenye mechi 7.
 
LeBron alafu anafuata MJ. Tuwalinganishe Mkuu.
No, MJ, Lebron then Kobe, na ni hivyo sababu kobe aliwahi kustaafu. Angecheza hadi 40s kama MJ basi ingekua Mj, Kobe then Lebron
 
Michael Jordan kwanza then ndo anafata Lebron James
Kobe asingestaafu mapema akacheza hio misimu mitatu tena probably tungesema mengine, sababu hata final game yake aliperform vizuri sana
 
No, MJ, Lebron then Kobe, na ni hivyo sababu kobe aliwahi kustaafu. Angecheza hadi 40s kama MJ basi ingekua Mj, Kobe then Lebron
Umetumia vigezo gani kupanga? Kama ni Takwimu unakosea. Zilete hapa tulinganishe. Labda uwe na kigezo chako kingine.
 
Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.

Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.

Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
Gape against a dead legend? Pia angalia Kobe kastaafu akiwa na 36, Mj kacheza hadi 40, Lebron ana 38 na bado anaendelea.

Kobe just went away too soon from us(kikapuni na duniani)
 
Ila ukilinganisha masaa na idadi ya michezo alocheza kobe na lebron bado ratio za kobe ziko juu hata kama lebron kavunja rekod ya magoli.

Ni kama vile wewe ufunge goli 5 kwenye mechi 2 na mimi nifunge goli 10 kwenye mechi 7.
The only thing that MJ is far better than LeBron, ni kwenye ubingwa. Ambao ana 6 huku Lebron ana 4.

Vingine vyote, assists, points, shooting accuracy, steals na vingine kibao MJ anakaa.
 
Mimi binafsi hata sijawafatilia hao wachezaji, lakini sijui tu ni ngekewa, najikuta nalikubali tu jina la Kobe Bryant na Michael Jordan
Nadhan hata namba ya lakers inayozagaa sana bongo hata nje kwenye media ni 8 na 24 ambazo alivaa Kobe
 
Mimi ni die hard fan of Michael Jordan, enzi hizo za Chicago bulls ipo on fire [emoji91][emoji91][emoji91]
 
LeBron alafu anafuata MJ. Tuwalinganishe Mkuu.
MJ cannot be compared with anyone he is the GOAT. Mtu alistaafu akacheza baseball then akarudi and still akashinda three rings, huyo ni hatari
 
Back
Top Bottom