kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Michael Jordan kwanza then ndo anafata Lebron JamesLebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.
Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.
Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
LeBron alafu anafuata MJ. Tuwalinganishe Mkuu.Michael Jordan kwanza then ndo anafata Lebron James
Ila ukilinganisha masaa na idadi ya michezo alocheza kobe na lebron bado ratio za kobe ziko juu hata kama lebron kavunja rekod ya magoli.Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.
Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.
Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
No, MJ, Lebron then Kobe, na ni hivyo sababu kobe aliwahi kustaafu. Angecheza hadi 40s kama MJ basi ingekua Mj, Kobe then LebronLeBron alafu anafuata MJ. Tuwalinganishe Mkuu.
Kobe asingestaafu mapema akacheza hio misimu mitatu tena probably tungesema mengine, sababu hata final game yake aliperform vizuri sanaMichael Jordan kwanza then ndo anafata Lebron James
Umetumia vigezo gani kupanga? Kama ni Takwimu unakosea. Zilete hapa tulinganishe. Labda uwe na kigezo chako kingine.No, MJ, Lebron then Kobe, na ni hivyo sababu kobe aliwahi kustaafu. Angecheza hadi 40s kama MJ basi ingekua Mj, Kobe then Lebron
Gape against a dead legend? Pia angalia Kobe kastaafu akiwa na 36, Mj kacheza hadi 40, Lebron ana 38 na bado anaendelea.Lebron na Kobe walikuwa ni wapinzani haswa kama ambavyo watu huwalinganisha Messi na Ronaldo.
Hawampendi LeBron kwa sababu anazidi kuwiden gape kati yake na jamaa yao Kobe. LeBron ndiye mchezaji aliyevunja rekodi iliyodumu zaidi ya miaka 39 ambayo pengine watu walidhani haitokaa ivunjwe.
Ila ni chuki ya bure. LeBron ndiye 🐐 wa Basketball..
The only thing that MJ is far better than LeBron, ni kwenye ubingwa. Ambao ana 6 huku Lebron ana 4.Ila ukilinganisha masaa na idadi ya michezo alocheza kobe na lebron bado ratio za kobe ziko juu hata kama lebron kavunja rekod ya magoli.
Ni kama vile wewe ufunge goli 5 kwenye mechi 2 na mimi nifunge goli 10 kwenye mechi 7.
Nadhan hata namba ya lakers inayozagaa sana bongo hata nje kwenye media ni 8 na 24 ambazo alivaa KobeMimi binafsi hata sijawafatilia hao wachezaji, lakini sijui tu ni ngekewa, najikuta nalikubali tu jina la Kobe Bryant na Michael Jordan
MJ cannot be compared with anyone he is the GOAT. Mtu alistaafu akacheza baseball then akarudi and still akashinda three rings, huyo ni hatariLeBron alafu anafuata MJ. Tuwalinganishe Mkuu.
Ni kweliKobe asingestaafu mapema akacheza hio misimu mitatu tena probably tungesema mengine, sababu hata final game yake aliperform vizuri sana