Hahah,,karibu sana mkuu..Basketball ni mchezo pendwa sana duniani,Pia unavutia kuucheki,,Lakini bila shaka unawafahamu Michael Jordan na Kobe Bryant?[emoji16]Sawa mkuu.
Ngoja tufuatilie uzi.
Ila ktk michezo haijawahi nivutia basi huu ni kwanza.
Ni Mchezaji gani unaemkubali sana kwasasa kwenye NBA league? Na kwanini?..Personal namkubali sana Kyrie Irving sababu ana skills sana kama ilivokua kwa Alen Iverson hasa kwenye ku'dribble,Ku'turn,Ku'step back na ku'shoot,Ana crossover za akili sana ambazo humsaidia kuuficha Mpira na kuwa ngumu mpinzani ku'steal ball,Lakini pia sio virahisi kukosa akienda Rey-Up[emoji459][emoji459]
Dame huyu jamaa ni hatari,anafungaga hadi vikapu30 pekeake kwa mechi..Sema Leo timu yake ya Portland Trial Blazers inacheza na Philadelphia.. Ngoja tutaona