Bata Mzinga kwa Bei poa

hivi wanaenda shin ngapi hao?kama ni kifaranga au mkubwa?
 
picha
bei
uko wapi
wanauzito gani
vile vile kuna wateja wengine hawajui kutumia whatsup tena ndio wateja haswaa...

hv hii biashara unaifanya kwa faida au unatusaidia sisi wateja wako tu
 
sasa si ungeanzisha kundi la watsapp kisha ukatoa tangazo lako huko
umetangaza biashara hakikisha unawapa watu taarifa zote
vinginevyo tupa kuleee
 
Acha kuweka tangazo nusu nusu weka bei na uko wapi kama umeamua kutangaza hapa wengi hatuna muda wa kupm tunashawishika na kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…