Bata na Kuku kipi kinalipa?

Nyakazeze

Member
Joined
May 7, 2014
Posts
36
Reaction score
7
Wadau naombeni ushauri wenu, ninampango wa kufuga Bata au Kuku wa nyma kwa ajili ya biashara, naomba ushauri wenu kipi kinalipa. Nategemea ushauri mzuri.
 
Sijawahi kufuga bata. Ila nina uhakika kwa kuku wa nyama ndani ya wiki 6 mpaka nane unauza. Hii inategemea na hali ya hewa ya mahali husika. Kwenye joto kama dar unaweza kuuza wakiwa na wiki 5.
 
bata wanalipa zaidi kuliko kuku

Naona kama inachukua muda mrefu toka kifaranga mpaka anapokuwa tayari kwa kuuzwa. Nipe uzoefu wako katika hili.
 
Wadau naombeni ushauri wenu, ninampango wa kufuga Bata au Kuku wa nyma kwa ajili ya biashara, naomba ushauri wenu kipi kinalipa. Nategemea ushauri mzuri.

Wanalipa Kwa Kuliwa tu Na Kuchafua Mazingira Na M.I.M.A.V.I Yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…