Bata wanauzwa

bahati30

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
1,625
Reaction score
883
Ninauza bata wa kawaida wa rangi nyeupe na rangi mchanganyiko (nyeupe na nyeusi......) kwa bei ya Sh 15,000-25,000. Anayehitaji anitafute kwa namba hii hapa : 0718424824. Karibuni sana
 

Attachments

  • Photo0123.jpg
    431.5 KB · Views: 80
Umenikumbusha ule wimbo wanasema nyama ya mbele ni tamu ya nyuma ina mafuta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…