Bata wangu anaumwa ugonjwa gani?

Bata wangu anaumwa ugonjwa gani?

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Wana JF,

Macho ya bata wangu yanatoa mapovu halafu yanakuwa Kama yanataka kuziba kabisa, huo ni ugonjwa gani? Unatibiwaje?

IMG_20221119_135108.jpg
 
Hata ka picha hujatuwekea?

Anyway, huo ni ugonjwa wa upungufu wa vitamin A. Wanunulie vitamins za madukani uwape. (Vitamins ni supplement wanayotakiwa kupata mara kwa mara ili kuzuia wasipate tena tatizo)
 
Hizo vitamini zinaitwaje?Au ndiyo jina lake hilo hilo?Kama Una hata picha ya pakiti yake ninaomba
 
Hata ka picha hujatuwekea?
Anyway, huo ni ugonjwa wa upungufu wa vitamin A. Wanunulie vitamins za madukani uwape. ( Vitamins ni supplement wanayotakiwa kupata mara kwa mara ili kuzuia wasipate tena tatizo )
 

Attachments

  • IMG_20221119_135113.jpg
    IMG_20221119_135113.jpg
    2.1 MB · Views: 38
Wana JF,

Macho ya bata wangu yanatoa mapovu halafu yanakuwa Kama yanataka kuziba kabisa, huo ni ugonjwa gani? Unatibiwaje?
Mkuu kutokana na picha uliyoweka mbona kama bata wako amepata ugonjwa wa mlipuko wa (NDUI) au hayo mapele huwa anayo tu siku zote?

Lakini pia hayo macho kuwa na mapovu/Maji maji ni dalili ya mafua au ni hatua za awali za upungufu wa vitamin A

Kwahiyo wanunulie Antibiotic ya mafua lakini pia ununue na multivitamin uwe unachanganya Kwa pamoja unawapatia

na dawa ya mafua ukipata yenye amoxicillin ni vizuri zaidi kwenye kukausha hayo madonda ili yasiendelee au yakauke ila ukikosa tumia tylodox
 
Mkuu kutokana na picha uliyoweka mbona kama bata wako amepata ugonjwa wa mlipuko wa (NDUI) au hayo mapele huwa anayo tu siku zote?

Lakini pia hayo macho kuwa na mapovu/Maji maji ni dalili ya mafua au ni hatua za awali za upungufu wa vitamin A

Kwahiyo wanunulie Antibiotic ya mafua lakini pia ununue na multivitamin uwe unachanganya Kwa pamoja unawapatia

na dawa ya mafua ukipata yenye amoxicillin ni vizuri zaidi kwenye kukausha hayo madonda ili yasiendelee au yakauke ila ukikosa tumia tylodox
Asante Sana kwa ushauri nitaufanyia kazi!Jana nilienda kwa mtaalamu mmoja akanishauri niwape OTC 20%.Ngoja niongeze na ulizonishauri!Pia anaharisha kinyesi cheupe
 
Asante Sana kwa ushauri nitaufanyia kazi!Jana nilienda kwa mtaalamu mmoja akanishauri niwape OTC 20%.Ngoja niongeze na ulizonishauri!Pia anaharisha kinyesi cheupe
Pole sana mkuu, bahati mbaya ni kwamba ndege akipata maradhi ya Ndui kinga za mwili zinashuka sana na hiyo kupelekea kupata maradhi nyemelezi kama huko kuharisha

Hiyo OTC 20% Kwa hilo tatizo la kuharisha kuna asilimia ndogo sana za kukusaidia, inawezekana Jana wakati umeenda kununua dawa mtaalamu alikupatia OTC 20% kulingana na dalili au maelezo uliyompa Jana

Kwahiyo nadhani ni vizuri ukamrudia tena na kumwambia ulichokiona leo kuhusu Choo chake, ili yeye either akubadirishie dawa au akushauri kipi cha kufanya
 
Pole sana mkuu, bahati mbaya ni kwamba ndege akipata maradhi ya Ndui kinga za mwili zinashuka sana na hiyo kupelekea kupata maradhi nyemelezi kama huko kuharisha

Hiyo OTC 20% Kwa hilo tatizo la kuharisha kuna asilimia ndogo sana za kukusaidia, inawezekana Jana wakati umeenda kununua dawa mtaalamu alikupatia OTC 20% kulingana na dalili au maelezo uliyompa Jana

Kwahiyo nadhani ni vizuri ukamrudia tena na kumwambia ulichokiona leo kuhusu Choo chake, ili yeye either akubadirishie dawa au akushauri kipi cha kufanya
Nashukuru kwa ushauri!
 
Mkuu kutokana na picha uliyoweka mbona kama bata wako amepata ugonjwa wa mlipuko wa (NDUI) au hayo mapele huwa anayo tu siku zote?

Lakini pia hayo macho kuwa na mapovu/Maji maji ni dalili ya mafua au ni hatua za awali za upungufu wa vitamin A

Kwahiyo wanunulie Antibiotic ya mafua lakini pia ununue na multivitamin uwe unachanganya Kwa pamoja unawapatia

na dawa ya mafua ukipata yenye amoxicillin ni vizuri zaidi kwenye kukausha hayo madonda ili yasiendelee au yakauke ila ukikosa tumia tylodox
ASANTEE SANA!NILITAFUTA DAWA ULIZOSHAURI NA KIUKWELI ZIMENISAIDIA SANA!
 
Ndui iyo ndugu penda kutoa chanjo Kwa Bata zako,wachana na usemi Bata hawaumwagi
 
Wana JF,

Macho ya bata wangu yanatoa mapovu halafu yanakuwa Kama yanataka kuziba kabisa, huo ni ugonjwa gani? Unatibiwaje?

(Gumboro)nenda dukani nunua e.s.b 3 (i esi bii three) na pumba yao nunua DPC changanya huko kijiko kimoja pumba ndoo moja.wape kabla hawajaisha.alafu nunua na dawa ya minyoo wawekee kwenye maji
 
(Gumboro)nenda dukani nunua e.s.b 3 (i esi bii three) na pumba yao nunua DPC changanya huko kijiko kimoja pumba ndoo moja.wape kabla hawajaisha.alafu nunua na dawa ya minyoo wawekee kwenye maji
Mkuu, ukiona mtu anakuja kuomba ushauri humu na hasa wa matibabu ujue huyo mtu ni Kweli anashida na anahitaji utatuzi wa haraka

Kwahiyo ni vizuri kama mtu utaamua kumsaidia Kwa ushauri basi inabidi uwe unaelewa kile unachoenda kumshauri ili akatatue tatizo lake

Na endapo kama hufahamu ni bora ukampa ata pole tu ili imfariji wakati anaendelea kusubiri wanaoujua tatizo lake au wenye Idea kuhusu kutatua tatizo lake

Kutokana na maelekezo ya mtoa mada na majibu uliyompa ni wazi kuwa huna unachokijua kuhusu tatizo la mleta mada wala huna unachokijua kuhusu ugonjwa ulioutaja wewe wa Gumboro

Kwa maana hiyo endapo angefata ushauri wako kuna uwezekano angepata matibabu ambayo sio sahihi Kwa sababu Jina la ugonjwa teyari ni tofauti hivo ata dawa lazima ziwe tofauti

Kibinadamu ni Jambo zuri sana kusaidiana hasa kimawazo maana hakuna anaejua kila kitu ila ni vizuri kabla hujasaidia basi vizuri ukawa na uhakika na unachoenda kushauri ili usije kuongeza tatizo badala ya kulitatua
 
Mkuu, ukiona mtu anakuja kuomba ushauri humu na hasa wa matibabu ujue huyo mtu ni Kweli anashida na anahitaji utatuzi wa haraka

Kwahiyo ni vizuri kama mtu utaamua kumsaidia Kwa ushauri basi inabidi uwe unaelewa kile unachoenda kumshauri ili akatatue tatizo lake

Na endapo kama hufahamu ni bora ukampa ata pole tu ili imfariji wakati anaendelea kusubiri wanaoujua tatizo lake au wenye Idea kuhusu kutatua tatizo lake

Kutokana na maelekezo ya mtoa mada na majibu uliyompa ni wazi kuwa huna unachokijua kuhusu tatizo la mleta mada wala huna unachokijua kuhusu ugonjwa ulioutaja wewe wa Gumboro

Kwa maana hiyo endapo angefata ushauri wako kuna uwezekano angepata matibabu ambayo sio sahihi Kwa sababu Jina la ugonjwa teyari ni tofauti hivo ata dawa lazima ziwe tofauti

Kibinadamu ni Jambo zuri sana kusaidiana hasa kimawazo maana hakuna anaejua kila kitu ila ni vizuri kabla hujasaidia basi vizuri ukawa na uhakika na unachoenda kushauri ili usije kuongeza tatizo badala ya kulitatua
Shukrani kwa ushauri mzito!
 
Hata ka picha hujatuwekea?
Anyway, huo ni ugonjwa wa upungufu wa vitamin A. Wanunulie vitamins za madukani uwape. ( Vitamins ni supplement wanayotakiwa kupata mara kwa mara ili kuzuia wasipate tena tatizo )
uko sahihi kabisa
 
Vp Maendeleo Ya Bata Baada Ya Kushauriwa
 
Back
Top Bottom