Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Huwa najiuliza haya majina mengine yalitokea wapi? Mfano Bodaboda nadhani lilitokea nchi kama Uganda kuwakilisha vyombo vya usafiri wa Pikipiki.
Sasa enzi zetu kulikuwa na Pikipiki-baiskeli maarufu kwa jina la Batavuzi.
Je nini asili ya jina hili?
Sasa enzi zetu kulikuwa na Pikipiki-baiskeli maarufu kwa jina la Batavuzi.
Je nini asili ya jina hili?