Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Huwa najiuliza haya majina mengine yalitokea wapi?
Mfano boda boda nadhani lilitokea nchi kama Uganda kuwakilisha vyombo vya usafiri wa piki piki.
Sasa enzi zetu kulikuwa na piki piki baiskeli maarufu kwa jina la batavuzi. Je nini asili ya jina hili?
Ni kutokana na jina la hizi mopeds "BATAVUS".
Nenda hapa uone hii kampuni ya kiDachi inayotengeneza hizi mopeds.
https://en.wikipedia.org/wiki/Batavus
Duuh! Kumbeee. Asante sana kwa kunielewesha mdau...
I had no idea...Kwani we hapo kabla ulifikiriaje??