Bati 20 za alaf futi 10 zinajenga vyumba vingapi?

Bati 20 za alaf futi 10 zinajenga vyumba vingapi?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mabingwa wa ukadiriaji hebu chakateni mlinganyo hapo nataka nimjengee mchepuko kajumba kadogo Sasa hizo bati zinatosha vyumba vingapi?
 
Mabingwa wa ukadiriaji hebu chakateni mlinganyo hapo nataka nimjengee mchepuko kajumba kadogo Sasa hizo bati zinatosha vyumba vingapi?
Simba dumu au IT5? IT5 ni migongo mipana
 
Slope..
Mgongo wa tembo
Contemporary
Urefu wa paa...wapo wanayainua sana
Tafuta mtaalam akupe hesabu..hapa tutakuwa tunakisia tu, pia tunaweza kukushauri tofaut na fund akakushaur tofaut alafu ukatuamini sisi badala ya fundi, mvua ikawa mgeni wako
 
Unataka kuezeka paa la aina gani? Hiyo itaamua eneo litakalofunikwa na hizo bati.

Pia inategemea unataka ukubwa wa chumba uweje? Zinaweza kutosha chumba kimoja, viwili, vitatu au vinne kutegemea na wewe unataka ukubwa wa vyumba uweje?
 
Wachakataji Mnatakiwa Kuja Na Jibu Iwapo Single Room Tu
Ama .......Bila Kujari Atapenda Ama Laa!! Maana Ametaja Idadi
 
Unataka kuezeka paa la aina gani? Hiyo itaamua eneo litakalofunikwa na hizo bati.

Pia inategemea unataka ukubwa wa chumba uweje? Zinaweza kutosha chumba kimoja, viwili, vitatu au vinne kutegemea na wewe unataka ukubwa wa vyumba uweje?
Be serious vyumba vinne?
 
Back
Top Bottom