Bati(ALAF) zimebaki baada ya kupaua nauza

Bati(ALAF) zimebaki baada ya kupaua nauza

TechWarlock

Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
37
Reaction score
11
Salama Wakuu?

Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.

BEI:
Nilinunua kwa Tsh 23,840 kwa mita ila nauza Tsh 21,000 kwa mita, na kofia/valley(mita 3) kwa Tsh 21,000(nilinunua kwa Tsh 24,000)
 
Salama Wakuu?

Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.
Bei gani
 
Kama eneo la kiwanja ni kubwa, nakushauri ungezihifadhi kwa sasa. Maana ujenzi hauishi.
 
Kuandika maneno yooote hayo ila umeshindwa kuweka Bei? Au ndio kila mtu apigwe bei yake uko PM?
 
Salama Wakuu?

Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.

BEI:
Nilinunua kwa Tsh 23,840 kwa mita ila nauza Tsh 21,000 kwa mita, na kofia/valley(mita 3) kwa Tsh 21,000(nilinunua kwa Tsh 24,000)
Uzi bila picha[emoji24][emoji3][emoji24]
 
Salama Wakuu?

Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.

BEI:
Nilinunua kwa Tsh 23,840 kwa mita ila nauza Tsh 21,000 kwa mita, na kofia/valley(mita 3) kwa Tsh 21,000(nilinunua kwa Tsh 24,000)
Mafundi wanazingua sana kwenye makadirio
 
Back
Top Bottom