Bati kuathiriwa na vumbi la Cement linasafishwa kwa njia gani?

Bati kuathiriwa na vumbi la Cement linasafishwa kwa njia gani?

Step by step

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
1,164
Reaction score
1,293
Habari wajumbe.

Kuna huu urembo was kisasa ambapo wanachora nguzo na madirisha kwa kutumia cement Kisha ili ikauke haraka wanamwagia VUMBI la cement.

Hili VUMBI kama Kuna upepo hupaa na kuganda kwenye bati na kuifanya bati kupauka.

Je, bati ikishaathirika n hili VUMBI, njia gani inaweza kutumika kusafisha maana hata mvua haitoi
 
Mimi pia ilinitokea lakini lilisafishwa na mvua tu..bati kampuni ya ALAF
 
Bati ni udongo. Hapo dawa ni kurudia kupaka rangi maalum kwa ushauri nenda nabaki Afrika mikocheni utapewa ushauri nzuri tena bure hawana garama ila vifaa vya kutatua tatizo utanunua.
 
Ni bati la ALAF migongo mipana yani imepauka balaa
Nilisha wahi fanya kazi ya kuripaer vigae vya nyumba vilichoka na baadhi vilikuwa vinapitisha maji. Ipo rangi maalum na vitambaa maalum pamoja na gundi hivi vifaa vinapatikana nabaki africa nenda kwenye maduka yao watakupa ushauri nzuri na tatizo litamalizika
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Back
Top Bottom