Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
JF kuna watu miyeyusho miyeyusho balaah kama huyo muuza bati ,sijuhi wanatoeaga mkoa gani?
bati fake za mchina hizi, yaani hapo mvua na jua kidogo rangi inapauka yote. afadhalk kupaulia zisizokuwa na rangi mtu ujue moja kuliko kupaulia bati za rangi alafu zinakuja kubabuka ndani ya muda mfupi.Gauge 30
Migongo mipana (IT-5)> 23,500/=
Gauge 28
Migongo mipana. (IT-5)> 33,000/=
Migongo vigae (versatile)> 36,000/=
Pia tunakata kwa mita (special meter).
SIMU / WhatsApp 0658 339 930
Pia kama wewe ni Mhitaji wa BATI, Fundi kupaua au Mdau wa ujenzi kuona PRICE LIST YETU jiunge na WhatsApp group kwa kubofya link hii Pros building materials
KOFIA NA MISUMARI VIPO | Karibu
…….....…................................
OFA YA USAFIRI KWA WAKAZI WA DSM IPO WAHI SASAView attachment 1420820View attachment 1420821View attachment 1420822
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe ni marketing officer ,inabidi ujitathimini upya.
Ukimuuliza brand hataji. Huyu anaweza kukuuzia makuti ya kuezekea
Zala Na Nga
Mkuu usipende kukariri na kukaririshwa vibaya. Bati mbovu na fake ni ile inayopauka haraka na kupata kutu, ila suala LA rangi kupauka huwa lipo kwa bati zote za rangi kitakachotofautisha ni muda tu kuwa zipo zitakazo anza pauka mapema na zitakazo pauka baadae sana ila haziwezi pata kutu.bati fake za mchina hizi, yaani hapo mvua na jua kidogo rangi inapauka yote. afadhalk kupaulia zisizokuwa na rangi mtu ujue moja kuliko kupaulia bati za rangi alafu zinakuja kubabuka ndani ya muda mfupi.
Brand ya bati yetu ni pros tanzaniaKutaja Brand name umezuiliwa??
Zala Na Nga
Sio lazima bidhaa iwe bora ndipo inunuliwe mfano wale wanaohitaji mabati ya kuzungushia kabla ya ujenzi unadhani wanahitaji mabati bora? nakazia tu mkuu!Soko ni kubwa sana mkuu, kwa huo mtazamo maana yake mikate au juice tunaweza sema kama sio za AZAM achana nazo, kuna factors nyingi zinazofanya MTU achukue bidhaa Fulani sehemu fulani nimesha Fanya miradi mingi sana ya binafsi na ya serikali karibia kila siku napata oda, je unataka kisema hawa wote hawajui kama kuna huko ulikotaja?
Kikubwa ni ubora Wa bidhaa na umakini wako wakati Wa manunuzi ndio maana hata sisi huwa tunajitahidi sana kumuelekeza Mteja wetu na siku zote biashara nzuri huwa ikijitangaza yenyewe sisi bati zeti ni nzuri sana