resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Floor plan yake iko hvNahitaji ramani yako boss hasa namna ya kuweka hiyo Dining.. Kama hutaibiwa na mafundi mbao unazohitaji ni 2*4=75 na 2*2=60 kwenye bati ni kati ya 55-60 za Simba dumu ila kama msauzi wa kichina zinaweza fika hata bati 75...Almost 3 million is enough kwa sisi wagonga ulimbo.
Kama nyie mnaotaka hela sana, mnakuaga na estimation za uwongoUna bei gani ufanyiwe hesabu? Hakuna vya bure