Elections 2010 Batilda Aibuka toka ICU hadi Mahakamani...

kama avatar yako
 
ni vyema tu akienda court...
then tutasikia matokeo yake

ivi ni Dr by profesheno?
Ndiyo lakini ukimkuta anaongea utadhani mtu wa la saba...ni bora aende aka-apply hiyo profesheno yake sehemu husika...
 


Nakumbuka jinsi mwanasheria maarufu na mwanaharakati makini Mr. Julius Ndyanabo (RIP) alivyoamua kuipigania haki hii ya kimsingi pale alipoamua kufungua shauri (kesi) ya kikatiba katika Mahakama Kuu. Na baadae shauri likafikafika mpaka Court of Appeal na kipengele kile kilichokuwa kandamizi na kinachominya haki kikawa declare un-constitutional. Na sheria ile mbovu ikatupiliwa mbali.

Nilikuwa niki mu-admire na kumuheshimu sana Marehemu Julius Nydyanabo kwa uana harakati wake wa kupigania haki za Msingi na Ki-katiba katika jamii. Japo tulimpenda sana lakini Mungu alimpenda zaidi na kuondoka dunia hii mapema wakati ambapo harakati za mageuzi ya kweli nchini Tanzania ndio yamezidi kuwa magumu. Lakini tutafika tu.

FYI - Reference Attached here under;

================

Julius Ishengoma Francis Ndyanabo v. Attorney General
Court of Appeal (Corum: Samatta C.J. Kisanga and Lukagakingira JJA)
Civil Appeal No. 64 of 20

Click the the link below;

Ndyanabo v Attorney General (Civil Appeal No. 64 of 2001) [2002] TZCA 2 (14 February 2002)

Source: http://www.kituochakatiba.co.ug/case7.htm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…