Mwalimu JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 1,585 Reaction score 1,073 Oct 16, 2010 #1 Baada ya kutesa kwenye mieleka ataweza shuruba za MMA? Dave Bautista talks about MMA and leaving the WWE - ESPN
Baada ya kutesa kwenye mieleka ataweza shuruba za MMA? Dave Bautista talks about MMA and leaving the WWE - ESPN
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Oct 16, 2010 #2 Hahaaaa Bautista sidhani kama ataweza huyu....lakini tutaona. Brock Lesnar mpaka sasa kafanikiwa...Bobby Lashley yeye anasuasua....muda utatuambia
Hahaaaa Bautista sidhani kama ataweza huyu....lakini tutaona. Brock Lesnar mpaka sasa kafanikiwa...Bobby Lashley yeye anasuasua....muda utatuambia
Mwalimu JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 1,585 Reaction score 1,073 Oct 16, 2010 Thread starter #3 Nyani Ngabu said: Hahaaaa Bautista sidhani kama ataweza huyu....lakini tutaona. Brock Lesnar mpaka sasa kafanikiwa...Bobby Lashley yeye anasuasua....muda utatuambia Click to expand... Mipango ni kumpambanisha na Bobby Lashley kwa pambano la kwanza...its going to be interesting to watch though inaweza isiwe ya kuvutia...
Nyani Ngabu said: Hahaaaa Bautista sidhani kama ataweza huyu....lakini tutaona. Brock Lesnar mpaka sasa kafanikiwa...Bobby Lashley yeye anasuasua....muda utatuambia Click to expand... Mipango ni kumpambanisha na Bobby Lashley kwa pambano la kwanza...its going to be interesting to watch though inaweza isiwe ya kuvutia...