Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IST kwa sasa nilikuwa natumia TOP POWER N50
Mkuu
Ongeza Taarifa Za Hitaji La Battery Unatumia Kwenye Gari Gani?
Baadaye Ushauri Unakuja Haraka
Unatumia Kwenye Noah, Probox, Ist, Premio, Allex, Runx Wish
Hahahahah battery ya Tembo ndio bei gani?Tumia Battery Inaitwa Tembo
Kwa Aina Yako Ya Gari Nunua N50, N70
Utaondoa Mawazo Hata Kwenye Kusikiliza Radio Unapozima Gari
sio kubwa sana kwa ist?mimi kwenye noah old model,natumia N50,na inawasha bila shida.ist labda N40.Tumia Battery Inaitwa Tembo
Kwa Aina Yako Ya Gari Nunua N50, N70
Utaondoa Mawazo Hata Kwenye Kusikiliza Radio Unapozima Gari
Mkuusio kubwa sana kwa ist?mimi kwenye noah old model,natumia N50,na inawasha bila shida.ist labda N40.
ok,ila N50 na N60,naona kama N50 ni kubwa kwa umbo,hata bei ziko juu kushinda N60 cjui kwa nini.Mkuu
Inakaa Vema Halafu Inaondoa Usumbufu Unaposikiliza Radio
Battery Kwisha Haraka Tu
Ni Kweliok,ila N50 na N60,naona kama N50 ni kubwa kwa umbo,hata bei ziko juu kushinda N60 cjui kwa nini.
Hivi hii lugha ya gari kuwa silencer ni mazoea tu maana namna sahihi nafikiri ni gari kuwa idle au standby mode.Ni Kweli
Nimeona Probox Jamaa Kafunga N70 Imekaa Sawa Shida Ya Kusikiliza Radio Siyo Lazima Gari Iwe Silencer Tena
Hilo betri la spark MF ni la kichawi sana linakufaga ghafla tuNjoo nikuuzie N45 spark.
Hutojuta
Mazoea Yana TabuHivi hii lugha ya gari kuwa silencer ni mazoea tu maana namna sahihi nafikiri ni gari kuwa idle au standby mode.
Bei elekezi ndio bei gani mkuu natakiwa ninunue battery jipya yani maana battery bovu linatesa hadi gari inachukiza. Nilinunua "Maxx batt" N50 Gold edition la kikorea toka 2020 ndio limekufa mwaka huu. Nimeangalia maduka mengi kariakoo hamna lile nilinunua nikiwa Moshi nahisi lilitokea Nairobi.Mkuu Inategemea Unainunua Wapi
Kariakoo Unapata Bei Elekezi Ya Chama Na Serikali
0715756180 Mpigie Yupo Kariakoo Bakheresa Ana DukaBei elekezi ndio bei gani mkuu natakiwa ninunue battery jipya yani maana battery bovu linatesa hadi gari inachukiza. Nilinunua "Maxx batt" N50 Gold edition la kikorea toka 2020 ndio limekufa mwaka huu. Nimeangalia maduka mengi kariakoo hamna lile nilinunua nikiwa Moshi nahisi lilitokea Nairobi.
Sasa mbadala ni upi kwa sasa.
WameboreshaHilo betri la spark MF ni la kichawi sana linakufaga ghafla tu
Poa tu ntamcheki jamaa0715756180 Mpigie Yupo Kariakoo Bakheresa Ana Duka
Battery ambayo hutajuta ni Varta na inauzwa pale super doll Pugu road.Wadau napenda kujua battery nzuri ya gari. Nilinunua TOP POWER hata miezi 7 haijafika inazingua mara asbh igome kuwasha gari.
Msaada kwenye tuta