central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
Ngwea nampa 10/10Albert Mangwair na Chid Benz
KuigizaNoma kwenye nini?
Kumbe ngwea naye alikuja kuwa tejaNgwea alivuma kwa muda mrefu zaidi toka album yake ya kwanza hadi ya mwisho kabla hajawa teja la kutupwa
King Kong hakuvuma kwa muda mrefu sana kama Ngwea lakini katika kipindi hicho alikuwa wa moto sana kuliko Ngwea
Ngwea alikua mzuri zaidi kiuandishi swagger na wordplay na freestyle
King Kong alikua mzuri kwenye flow na kumiliki jukwaa
Overall
Nakwenda na Ngwea
Kumbe ngwea naye alikuja kuwa teja
Kweli hili nililisikia.Zakuaminika ni kwamba alikufa kwa overdose ya unga