central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
At their peak Chid Benz na Solo Thanga. Nani hatari zaidi kwenye HIP HOP???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Pwani.Hivi Solo Thanga aliimba wimbo gani?
huyu atakuwa mtoto wa 2000s hapa, angekuwa anamjua Solo asingeandika Thanga.Ww umeanza fatilia hiphop ya bongo mwaka gani???
aiseeThanga.
Solo Thanga ndio nani mkuu?At their peak Chid Benz na Solo Thanga. Nani hatari zaidi kwenye HIP HOP???
Homa ya dunia, sukari ina pilipili nk. Pia kwenye nyimbo ya msela yupoHivi Solo Thanga aliimba wimbo gani?