Battle: Chid Benz na Solo Thanga nani alikuwa hatari zaidi kwenye HIP HOP?

1. Dar Es Salaam Stand Up
2. Wewe ndo chaguo langu
3. Bongo flavour
4. Hasira za nini ft Ally Kiba
5. Mpaka kuchee
6. Naitwa nani
7. Umenisoma
8. Lawama ft Matonya
9. Natubu
10. Benzino
11. Baby ft Ray C

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, achana kabisa na hicho chuma cha Ilala kwenye ubora wake, hapo sijaweka ngoma alizo shirikishwa.
Njoo uniambie msanii wa bongo aliyemzidi kwa kufanya collabo, ni kweli ubora wa msanii haupimwi na idadi ya collabo alizofanya, sasa collabo angewekwa nani kila siku kwenye zile ngoma kama chuma kingekua sio noma?
 
Kula chuma hicho ...
Your browser is not able to play this audio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…