Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwaka juzi kenya wali weka vat kwa watalii sasa watalii wakakimbia wote kuja tanzania wakazidiwa kete sisi tumeweka vat na bado wameongezeka last year unajua sababu nn, yale mliokua munadanganya dunia yako kwenu kumbe wamezikuta tanzania sasa wameifahamu tanzania vzr
 
whaaattt....Dar is very disorganized.
Whaat nini wewe, tuliza kimpwinto icho, wewe uijui dar au haujatembea dar, wengi majua dar ni posta tuh kama ilivyo nairobi hamjafika maeneo mengine nyinyi,dar is extended kuliko unavyofikiria, na ndo mji unaokua kwa kasi kuliko yote kwasasa africa, dar inajengwa kila mahali....!![emoji559]
 
Hahahaha! Kipindi tunatak kujenga km400 za rami kupitia serengeti makenya yakaanza kujitekenya yakawa yanapiga kelele, yakafika mpka umoja wa mataifa eti tunaaribu biodiversty na natural conservations za dunia, yakachonga sana, ili tu yatuharibie utalii ili tuonekane hatufai yaan careless kwenye masuala ya utalii, wanaume tukakomaa tukasema lazima tujenge, zikajengwa km 200, sasa leo wenyewe wamepitisha reli SGR yao kwenye mbuga ya nairobi,ukubwa dawa hatuna habari nao tumekausha kama kawaida yetu! Tumewapotezea nyang'au!!! Wanachekesha sana hawa watu!! Kwanza hata huyo obama mwenyew vinasaba vyake vya asili ni msomali sema basi tuh,pumbavu hao wanakera sana yaani...!!!
 
Yaan huyu wanjala sijui anatafuta relief kwa kenya kwa kwenda kupiga jengo moja moja..!? Kweli ni upuuzi hivi na sisi tukisema tupige picha majengo yoote ndani ya kilometer za mraba 1500s'(1500s' square kilometers) patatosha hapa..!?? Acheni upuuzi nyinyi wakenya wazee wa kununulia ndege za uvuvi KDF..!! Nyinyi hamuwezi kuwa seriuz kila siku kulialia mnataka battle na dar leo mnaleta upuuzi...!?? wanjala leo we mercy you, bt Don't dare again..!!
 
wananunuliwa ndege na kisago wanapokea kwa alshabab kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…