Whaat nini wewe, tuliza kimpwinto icho, wewe uijui dar au haujatembea dar, wengi majua dar ni posta tuh kama ilivyo nairobi hamjafika maeneo mengine nyinyi,dar is extended kuliko unavyofikiria, na ndo mji unaokua kwa kasi kuliko yote kwasasa africa, dar inajengwa kila mahali....!![emoji559]whaaattt....Dar is very disorganized.
Hahahaha! Kipindi tunatak kujenga km400 za rami kupitia serengeti makenya yakaanza kujitekenya yakawa yanapiga kelele, yakafika mpka umoja wa mataifa eti tunaaribu biodiversty na natural conservations za dunia, yakachonga sana, ili tu yatuharibie utalii ili tuonekane hatufai yaan careless kwenye masuala ya utalii, wanaume tukakomaa tukasema lazima tujenge, zikajengwa km 200, sasa leo wenyewe wamepitisha reli SGR yao kwenye mbuga ya nairobi,ukubwa dawa hatuna habari nao tumekausha kama kawaida yetu! Tumewapotezea nyang'au!!! Wanachekesha sana hawa watu!! Kwanza hata huyo obama mwenyew vinasaba vyake vya asili ni msomali sema basi tuh,pumbavu hao wanakera sana yaani...!!!waliku
walikua hawaijui dar vzr tumekaa kimya 15 yrs kumbe hawajui tunajenga nchi wao wanahangaika na alshabab hahaha sasa wanastaajabu kuona ni kweli au auongo mujikaze sana hii 5 yrs hahaha mutaona mengi sana tusije kimbiana humu haha wanakwambia will smith yuko serengeti kenya hahaha wakiona wamezidiwa akili wanahaha huku wanaume tumetulia
Yaan huyu wanjala sijui anatafuta relief kwa kenya kwa kwenda kupiga jengo moja moja..!? Kweli ni upuuzi hivi na sisi tukisema tupige picha majengo yoote ndani ya kilometer za mraba 1500s'(1500s' square kilometers) patatosha hapa..!?? Acheni upuuzi nyinyi wakenya wazee wa kununulia ndege za uvuvi KDF..!! Nyinyi hamuwezi kuwa seriuz kila siku kulialia mnataka battle na dar leo mnaleta upuuzi...!?? wanjala leo we mercy you, bt Don't dare again..!!wakenya hua tunawajua ni watu wakuona vyao ni superior sasa kigongo kinawatokea puani sasa wanatafuta sababu hapa hatoki mtu mpaka niwanyooshe vzr ili siku nyingine mkija mnakuja na heshima na adabu na mm sieki building moja moja naeka zote zote ili muanze kuzihesabu
wananunuliwa ndege na kisago wanapokea kwa alshabab kama kawaidaYaan huyu wanjala sijui anatafuta relief kwa kenya kwa kwenda kupiga jengo moja moja..!? Kweli ni upuuzi hivi na sisi tukisema tupige picha majengo yoote ndani ya kilometer za mraba 1500s'(1500s' square kilometers) patatosha hapa..!?? Acheni upuuzi nyinyi wakenya wazee wa kununulia ndege za uvuvi KDF..!! Nyinyi hamuwezi kuwa seriuz kila siku kulialia mnataka battle na dar leo mnaleta upuuzi...!?? wanjala leo we mercy you, bt Don't dare again..!!