MotoChiniNairobi kenya
Tafadhali tupo Uwanjani
Hizi ndio nyumbazetu wakazi wa Nairobi 2.5 Ml
Hawa jamaa kelele tuMotoChini
Naona nyumba ya full suti mabati chakavu imewekwa geti kali sana la chuma hapo jijini Nairobi , kweli kina the MK254s wanaile kitu " masikini jeuri"
Tunakujua ujinga wako huwezi pita hapo, Nilidhani nikipost za Nairobi utapost za Dar??? sasa unapost za Nairobi na sikwenu, huo si inaonesha ulivyo zuzu!!!Nairobi Kenya
Likitokea janga la moto
huku ni hekaheka
Uvae viatu vya chuma muokoaji
maana Nyumba ni Mabati kuanzia chini
Ukisikia vituko
njoo huku
kwa wakenya 2.5ml
Mimi nipo na Nairobi
Sehemu walipo watu zaidi ya 2.5milioni!!