Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi kenya

Tafadhali tupo Uwanjani


Hizi ndio nyumbazetu wakazi wa Nairobi 2.5 Ml
MotoChini
Naona nyumba ya full suti mabati chakavu imewekwa geti kali sana la chuma hapo jijini Nairobi , kweli kina the MK254s wanaile kitu " masikini jeuri"
 
Nairobi Kenya

Mama hana makuu ndani ya Jiji la Nairobi
huyu atasema naye yupo mjini[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nyumba za wakazi 2.5ml
 
MotoChini
Naona nyumba ya full suti mabati chakavu imewekwa geti kali sana la chuma hapo jijini Nairobi , kweli kina the MK254s wanaile kitu " masikini jeuri"
Hawa jamaa kelele tu
Huko ndio makao halisi ya wakenya
Hapa ni Jijini Nairobi
 
Nairobi Kenya

Usiniulize hapa kijijini au la!
Hapa ni Jijini Nairobi
hizi ndizo Nyumba za wakenya halisi
Wapatao milioni mbili na nusu
2.5ml[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Nairobi Kenya
Likitokea janga la moto
huku ni hekaheka
Uvae viatu vya chuma muokoaji
maana Nyumba ni Mabati kuanzia chini


Ukisikia vituko
njoo huku
kwa wakenya 2.5ml
 
Nairobi Kenya
Likitokea janga la moto
huku ni hekaheka
Uvae viatu vya chuma muokoaji
maana Nyumba ni Mabati kuanzia chini


Ukisikia vituko
njoo huku
kwa wakenya 2.5ml
Tunakujua ujinga wako huwezi pita hapo, Nilidhani nikipost za Nairobi utapost za Dar??? sasa unapost za Nairobi na sikwenu, huo si inaonesha ulivyo zuzu!!!

Dar vile vipicha viliisha sasa ukaanza kulialia!! Wacha nikupe zikuzidi

By the way, unajifariji na picha za 1995,
 
Nairobi Kenya
usiniulize haya ni mabanda ya kufugia Kuku au Mbuzi!!
Rahasha haya ni makazi halisi ya Wakenya 2.5ml Nairobi kenya
 
Nairobi Kenya
usiniulize haya ni mabanda ya kufugia Kuku au Mbuzi!!
Rahasha haya ni makazi halisi ya Wakenya 2.5ml Nairobi kenya

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…