kaka unaweza proof mashoga wengi kenya ama dar ?tuulize sisi tunao safiri usiongee tu mambo mengine ni maneno upo na uzoefu wa nchi zote mbili ? Amanimaneno tu ? Kenya unaweza hessbu guest house je tanzania unajua hesabu yake ?
ongea ukiwa na uzoefu wa nchi zote mbili usikurupuke tu!pole lakini nikutotembea kwako