Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahahha hio munaonesha city centre wakat more than 3 million people wanaishi kama nguruwe wageni walioshika uchumi ndio wanakula bata hahahahahahahah kwa kujisifu tu hamjambo
 
just fools.
continue
hahahaha siku zote asiekubali kushindwa si mshindani kwanza muwatoe watu kibera na mathare more than 3 million people wanaish maisha ya nguruwe akaf muje tuzungumze tena...............tutawasubiri tu hamkujua 15yrs tanzania imekaa kimya inajenga nchi leo munahamaki kama wagonjwa wakifafa
 
Dar es Salaam (from Arabic: دار السلام‎‎ Dār as-Salām, literally "the abode of peace"; or simply Dar, formerly Mzizima) is the largest city of Tanzania and the largest city in eastern Africa by population, as well as a regionally important economic centre...hio ndio dar es salaaam
 
Pia new york, rio de Janeiro, Shanghai, Johannesburg, New Delhi ziko n.a. slums....so usijitete n.a. mada ya slums hapa Juu Iko n.a kibra iko n.a less than 250k inhabitants
 
Tyetye tye[emoji23] [emoji23]
Mkikata kona mkirudi
ni Barabara hahaha
poleni sana
leteni uhalisia wa maisha ya wakenya halisi!!

Watu wanaishi mahali Nguruwe pekee anaweza ishi!!
 
Pia new york, rio de Janeiro, Shanghai, Johannesburg, New Delhi ziko n.a. slums....so usijitete n.a. mada ya slums hapa Juu Iko n.a kibra iko n.a less than 250k inhabitants
wapi kuna slum hebu rudia sijaskia vzr huyu naona kachanganyikiwa hahahahhaa2.5m people in kibera na pics za links nimetuma na Wikipedia nimetuma hahahaha usilewe bado muda
 
Pia new york, rio de Janeiro, Shanghai, Johannesburg, New Delhi ziko n.a. slums....so usijitete n.a. mada ya slums hapa Juu Iko n.a kibra iko n.a less than 250k inhabitants
Kama hujui Kiswahili andika Kijaluo tu!!
Iko ndio nini!!
 
Tyetye tye[emoji23] [emoji23]
Mkikata kona mkirudi
ni Barabara hahaha
poleni sana
leteni uhalisia wa maisha ya wakenya halisi!!

Watu wanaishi mahali Nguruwe pekee anaweza ishi!!
barabara kwao ndo imekua nyimbo hahahahahaha hawana kingine waseme hapa tuskie hahahahah
 
How many international organizations plus headquarters ziko Dar?
we ndio maana ukaitwa mwanamke hio ndio city au ni nini, maswali yetu hata moja hakuna aliejibu munapita wima kila mkirudi munaonesha barabara tu hahahahahahahah leteni real facts ili siku nyingine munakuja na heshma hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…