Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JAMANI KINGINE TUANGALIE hawa raia wakikenya je wanaishi nairobi au wapo nnje ya nairobi maana sina imani inawezekana hao hata hyo nairobi yao hawaijui kwa kutembea wanaionaga kwa tv tu...
 
Nairobi chali
Ila Nairobi Ilikuwa enzi za mkoloni kwa Sasa majengo yake ni ya kizamani sana nawashauri waanzishe mji mpya huo wa Sasa uwe mji mkongwe kwa ajili ya watalii kuja kushangaa majengo ya zamani
 
Sawa watz, lakini hebu pia tuonyesheni vitu sampuli hii......kweli mkiwa na hivi mavitu, sisi hapa Kenya tutawaheshimu baraabara.
Lakini as long as bado mko hiovi hivi, mkichest thump ilhali kimiundo mbinu bado mko chini yetu, madharau kutoka kwetu bado mtaendelea tu kuzipata! Kenya ndio nchi ambayo imeendelea zaidi kwenye kanda hili, mkatae mkubali shauri zenu, ukweli bado utabakia pale pale.

Tuanze na eneo ya makaazi


ichoboy01 1 amekuwa akizungumzia kibera kila mara, hili hapa ni mtaa wenyewe wajengwa upya. Ipe kama miaka mitano-kumi hivi












 
Sasa tuangazieni mitaa mengine za jiji kuu la nairobi, what makes it the region's ultimate city?













 
JAMANI KINGINE TUANGALIE hawa raia wakikenya je wanaishi nairobi au wapo nnje ya nairobi maana sina imani inawezekana hao hata hyo nairobi yao hawaijui kwa kutembea wanaionaga kwa tv tu...
hawa wakenya wanaojitutumia hapa jf kubishana na wtz,baadhi yao wanaishi kenya mashinani na wengine wanaishi nairobi.

kwa wale wanaoishi nairobi,asilimia kubwa wanaishi maeneo haya:
makuru kayaba
githurai
kibera
mathare
kariobangi
kangemi
kawangware
huruma
dandora
kayore
umoja
mwiki.


wakazi wa nairobi wanaoishi maeneo ya westland,lavington,karen na runda,wao hawana mda wa kushinda mtandaoni kubishana na watz kwasababu kipato chao kinawafanya wawe na uwezo wa kutembelea sehemu mbalimbali za Tz kuja kula bata.

wanaifahamu dar vizuri na maeneo yake.wanafahamu vizuri kasi ya kimaendeleo ya jiji la dar.

tatizo lipo kwa wale machokoraa wa yale maeneo niliyotaja pale juu.wao wanaifahamu dar kupitia internet tu.

hawa machokoraa hata nauli ya kutoka nairobi kwenda kula bata mombosa huwa wanakosa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mnapenda kubishania ndoto.
 
Nairobi

U know, there's more to a good city than just those three, blue glass-cladded towers that are touted to be the tallest in.....wherever

Show us your public works!















 
Just like your backwaters Economy has been growing at 15% for the last decade and you are still poor than Guatemala.
nakuona tajiri boss mkubwa wa jiji la kijanja nairobi a.k.a mzalendo wa kenya wakizamani



[HASHTAG]#DAR[/HASHTAG] CITY STAND UP
we killin
 
Show us your concretes, quit pointing out faults. You called for this battle.
sorry man,I can't fulfill your request cos i'm very busy nowdays.I don't have enough time to upload photos here.

you need to check Annael ,ichoboy01 et al.
these young brothers of mine have been doing I great job that enables the trending of this thread.
please go through their comments.
 
Excuses
 
jamaa wanaushabiki wa bure lakini moyoni mwao wanajua nai ni ya kiwango tofauti na wanaikubali japo kwa siri siri
 
Just like your backwaters Economy has been growing at 15% for the last decade and you are still poor than Guatemala.
how are you my kenyan-cutest girlfriend.
I will be in nai next week.please let's meet at the same hotel we met last month.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…