Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wameomba estate wamelala chali jamaa kaomba kuona concrete zetu hahahaha ukiona MTU anatapatapa ujue haamini anayoyaona leo
 
Who told u Kenyatta ganja man au sio nenda uone unaleta dharau hapa we unafkiri Kenya ukitoa Nairobi kuna nn jinga we mm nimetembea Kenya na hakuna sehem utanidanganya mm
Wape Kibera ..wehu hao
 
Ngoja niwateremshie bahari among the 7 wonders of the world hehhhe 2.5 million poor kenyans
 
Hats kuku wa tanzania hawez ishi hapo wanaish 2.5 million people in Nairobi 5km from city centre bado mathare 0.5million bado matopeni 30k people alaf nchi iko middle economy hehehhe
 
Ouch, jamaa kweli ameumia

Tazama tena Kibera jinsi inavyojengwa upya.













Slum upgrading: Kibera residents to get new homes at last


Nyinyi mnafanya nini kuhusu hili tatizo la makazi duni mijini?
 
Mitaa za jiji ya DAR is SLUM
Pathetic, this ios all u ever show........the best Dar has got



But,














Una anzisha Ugomvi wa mawe ukiwa waishi nyumba ya Vioo
Hahaha pole kwa kubip Zimamoto!!!
Tutakupigia punde
 
Hawa waache wapost wala usisumbuke nao
nakuja na Madongo
Nataka nikeshe nao kama popo!!
Watakimbia tu
Hawa mbona kwangu ni biskuti ndani ya chai wanajifanya wajuaji sana hawa wenzao tumewawasha jioni wamekimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…