Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya Unemployment Rate 1999-2017 | Data | Chart | Calendar | Forecast
Unemployment Rate in Kenya increased to 40 percent in 2011
 
We have never
diamond platnums the richest musician in east africa hio hukuona alaf cha ajabu munapenda sana muziki wa tanzania mwanzo mwisho

Hhhhahhha, Diamond hata Akothee hajamfikia!! we vipi ndoto nyingi hivi???
 

Hauna lolote, hiyo nilikwambia sio geni unachoka tu na kumaliza bundles zako chache hizo! Unadhani unashtua nani sasa, mwehu tu, Ukiishiwa najua ni hapo tu utarejea! Danganyika
 
Hauna lolote, hiyo nilikwambia sio geni unachoka tu na kumaliza bundles zako chache hizo! Unadhani unashtua nani sasa, mwehu tu, Ukiishiwa najua ni hapo tu utarejea! Danganyika
sasa hutaki au hahahaha au vile hutaki waijue nairobi mm nimekaaa huko naijua nje ndani hahahahahaha mwenzako kanifata anataka kunipa corruption ili nisipost slum hhehehehehe nimekataa siunajua kenya iko ndani ya top 25 countries which leads in corruption in the world
 
Link gani hizo za kibongo??? Huyo hata hatumlinganishi na Kina prezo, bado sana huyu

We jamaa ni mshamba sana aisee. Hapa tunaongelea Nai wewe unaanza kusifia wanaume na mali zao!!? Yaani unaona hicho ndicho Nairobi inaizidi Dar?
 
We jamaa ni mshamba sana aisee. Hapa tunaongelea Nai wewe unaanza kusifia wanaume na mali zao!!? Yaani unaona hicho ndicho Nairobi inaizidi Dar?

Shida yako kuelewa ngumu, nilikuwa namjibu mwenzako na hadithi zake za vijiweni, eti Diamond
 
Usianzishe story ya magari sababu utaanza kulialia hapa tena
Hayo magari yako!!? Mbona akili zako ndogo sana. Hapa nakuonesha kuwa hakuna chochote hapo. Bongo magari yapo kibao sana. Wewe nimekuambia ulete kitu Nai kipo Dar hakipo.

Nilikua nakuonesha hapo uone kitu unachotaka kufanya ni ufinyu wa kuwaza. Leta kitu kipo Nairobi lakini Dar es salaam hakipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…