unatuekea project hahahaha tunataka tuone under construction hahahaha
kaulize google sijaona mtu amejibu link yangu hata moja humuIs Oyster Bay a Suburb of Dar??
niliwapa link za kutosha naona wote wamekimbia aliekwambia kenya kuna democracy ni nani, diplomacy hawana itakua democracy kapime kichwa chako wwNaona Watanzania tunajifariji kwa mambo yasiyo na maana baada ya kukaa kudai demokrasia na katiba nzuri ili kuijenga nchi yetu.
Ni dhahiri kuwa Nairobi iko vizuri kuliko Dar. Mbona hatujifananishai kiuchumi Tanzania na Kenya?
Mungu akusaidie kuwa na uelewa mzuri na akupe hekima. Nimesema Tanzania tuwe na demokrasia nzuri na katiba nzuri ili kuijenga nchi, wapi nimesema Kenya ina demokrasia nzuri?niliwapa link za kutosha naona wote wamekimbia aliekwambia kenya kuna democracy ni nani, diplomacy hawana itakua democracy kapime kichwa chako ww
Hhhhh, Yule kijana zumbukuku Ichoboy01, bado anauliza kwa nini hatujibu kauli zake, hajajua tulimblack list?? Atajiju huyu!!
MASAKI