Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi Dar inakuja mbio, mbio sana, population ya Dar ni kubwa sana kutoa ready market for the housing sector, lakini kufikia Nairobi hapa kijasho kaka
Soko ni kubwa, Miaka mitano iliyopita hapakua na satellite city yoyote lakini kwa sasa zinaibuka kila kona na nyingi ni za Mifuko ya jamii na makampuni binafSi mfano Avic town. tutafika tu
 
Hivi Dar inakuja mbio, mbio sana, population ya Dar ni kubwa sana kutoa ready market for the housing sector, lakini kufikia Nairobi hapa kijasho kaka
Mpunguze kwanza unemployment rate hehhhehhe eti nchi ya middle economy inaongoza kwa unemployment rate east africa
 
Soko ni kubwa, Miaka mitano iliyopita hapakua na satellite city yoyote lakini kwa sasa zinaibuka kila kona na nyingi ni za Mifuko ya jamii na makampuni binafSi mfano Avic town. tutafika tu
nilimwambia tanzania imejengwa for only 10 yrs munahaha je ingekua 20 yrs , tungewapa hata 50yrs hamuwezi kufkia kazi ya ukuaji wa dar niliwaekea link kama 7 wote wamepita wima wote hahaha kila mtu hataki kujibu
 
Slipway – Great views








 
Mikocheni – Villas – Gated community







 
In Kitisuru Estate Nairobi, the Magnolia Hills house costs 0.6 Billion, making it the most expensive house in an estate in Africa


The Magnolia hills images










The Bedroom


 
Hivi Dar inakuja mbio, mbio sana, population ya Dar ni kubwa sana kutoa ready market for the housing sector, lakini kufikia Nairobi hapa kijasho kaka
Umeanza kuchanganyikiwa ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…