Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

New York ni 1213 km 2.
Dar ni 1590km 2.
so inamaanisha Dar Iko develop than NYC ?
Dar ni kubwa kuliko NY ila NY inamajengo mengi sana na makubwa sanaaaa mji mzima
Uku Nairobi na DSM zinakimbizana kimajengo na bado ni very wide na mji wote unajengwa
So ovious dar ina a very large room ya kuipiku nairobi


Ona hyo mifano
 
Dar ni kubwa kuliko NY ila NY inamajengo mengi sana na makubwa sanaaaa mji mzima
Uku Nairobi na DSM zinakimbizana kimajengo na bado ni very wide na mji wote unajengwa
So ovious dar ina a very large room ya kuipiku nairobi


Ona hyo mifano
mnnnnn,namba mtaisoma roundi hii kwelikweli!!
 
Barabara moja kutwa nzima!!
hahaha kila anaye kuja ni barabara hiyo hiyo
oneni aibu
Do you know southern bypass you fool?
and do you know thika super highway?
what about the swanky outering super highway with multiple elevated sections and interchanges?
A104 highway is not in your mind too
Namba mtaisoma kwelikweli,kuja kenya tukuonyeshe world class super highways and interchanges......
FYI, a prestigious JKIA/RIRONI/WESTLANDS road is U/C.
namba endelea kuisoma....
 
Haaaa! fool tena. Weka evidances.
 

Hahaha Nimeipenda hii
 
Waooh, how long is that cave?, its just fuk.ng impressive!
Mmmmh, I dont know.......its long, like +200m or 300m I guess.


Waiona hiyo Pangan interchange tunnel hapo chini ya hii picha ya kwanza,


Kwa hii picha ingine, waiona imeishia pale mwisho kidogo. It's quite long.



 
Thread imekuwa chungu kwa wakenya
sasa naona Dharau zitapungua hahaha
Imekuwa chungu kivipi? Nyinyi ndio mnaonyesha uchungu kwa kupost picha za slums, kulalamika tunapoweka mabarabara, na kudai eti kila picha tunayoweka hapa ni za zamani. Hiyo ni kuonyesha nini?
 
Imekuwa chungu kivipi? Nyinyi ndio mnaonyesha uchungu kwa kupost picha za slums, kulalamika tunapoweka mabarabara, na kudai eti kila picha tunayoweka hapa ni za zamani. Hiyo ni kuonyesha nini?
Page ya kwanza Barabara
umekuja wewe na barabara zile zile
Kaja mwingine Barabara zilezile
kaja mmoja kapost picha kurudia rudia zikaisha
Akaja kupost jengo la Nssf Mwanza kuwa ni Nairobi[emoji23] [emoji23] [emoji107]

Tuka mweleza Na Mwanza imekuwa Nairobi!!!


Wakaja kupost stesheni
wameachana dakika chache
ona hii
Hahaha sasa kama Mmeishiwa Mposti Kibera au Ikulu ya Kikuyu tujue
maana Nairobi ni ndogo sana
haijatanuka kama Dar
haina majengo mengi
 
wakati mnaanza kujenga flyover ya kwanza,tulishazisahau za thika road.saa ii tunaangalia outer ring road,southern bypass,jkia tp rironi which are all under construction.personal siezi poteza tym kulinganisha dar na nai.they are world apart.dar hamna lolote kando na iyo pspf na tpa...all the other buildings are dwarfs.alafu wenzako wanasema tupatane apa baada ya five years....hehee.every sane person knows by then hamtakua na ubavu wa kuitaja nai pamoja na dar.ndio tutakua tumewazika kabisa
 

Keep living in utopian fantasies and denial you Tz morons....namba mnaisoma kwelikweli!!
 
Nairobi metro 6.5M
Dar metro 4.4M
Alafu niskie sijui Dar ni kubwa 1590km2!!!
pal...leave this guys alone.kama mtu anakosa kuelewa maana ya administrative boundaries utasumbuka kueleza bure.just say yes to plz the fool.nikama apo kwa boundary kumeekwa '"the great wall of china"'
 
pal...leave this guys alone.kama mtu anakosa kuelewa maana ya administrative boundaries utasumbuka kueleza bure.just say yes to plz the fool.nikama apo kwa boundary kumeekwa '"the great wall of china"'
Hahaha yaani wewe unaijua dar kuliko wakazi wa dar siyo!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…