BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
Dar ni kubwa kuliko NY ila NY inamajengo mengi sana na makubwa sanaaaa mji mzimaNew York ni 1213 km 2.
Dar ni 1590km 2.
so inamaanisha Dar Iko develop than NYC ?
mnnnnn,namba mtaisoma roundi hii kwelikweli!!Dar ni kubwa kuliko NY ila NY inamajengo mengi sana na makubwa sanaaaa mji mzima
Uku Nairobi na DSM zinakimbizana kimajengo na bado ni very wide na mji wote unajengwa
So ovious dar ina a very large room ya kuipiku nairobi
Ona hyo mifano
Do you know southern bypass you fool?Barabara moja kutwa nzima!!
hahaha kila anaye kuja ni barabara hiyo hiyo
oneni aibu
Haaaa! fool tena. Weka evidances.Do you know southern bypass you fool?
and do you know thika super highway?
what about the swanky outering super highway with multiple elevated sections and interchanges?
A104 highway is not in your mind too
Namba mtaisoma kwelikweli,kuja kenya tukuonyeshe world class super highways and interchanges......
FYI, a prestigious JKIA/RIRONI/WESTLANDS road is U/C.
namba endelea kuisoma....
Safi sanaMV kazi yaanza kazi kwenda kigamboni
Hii report ni ya uongo
I was at the airport yesterday picking my guest at 2:15 Am, Then I Saw someone with a board reading yapi merkezi , then I remembered someone telling me our SGR is still not very clear, I felt so good because I was the only one who can understand that. Kama jamaa alivyo sema hapo juu, Dar inaifanya Nairobi ipumulie mashine, Hahaha, Noma sana , Kama Mimi hata nisingepoteza muda wangu kufananisha nairobi na dar kwa jinsi mlivyo to na nyodo utafikir maendeleo hayo wamayafanya miaka ya sabini, Wangekua wanajishindanisha na Singapore, too bad, bado tunakula vumbi sambamba na Dar wanayoidharau, angalia hata barabara zao ambazo zilitakiwa zionekane world class, hivi hilo fuko la taka na vumbi linafanya nini kwenye hiyo Tunnel? Bado hamjishtukii tu Kama bado sana ? Projects that were supposed to look World class. Looking third world. Manyaya ya umeme kila kona Kama Kariakoo tu. Pumulieni tu mashine, Ngoja na sisi tuwe na hizo overpass sijui tutaringishiwa nini? Ila ni aibu kwa jinsi mnavyojifagilia bado mke busy kushindana na sisi
Mmmmh, I dont know.......its long, like +200m or 300m I guess.Waooh, how long is that cave?, its just fuk.ng impressive!
Imekuwa chungu kivipi? Nyinyi ndio mnaonyesha uchungu kwa kupost picha za slums, kulalamika tunapoweka mabarabara, na kudai eti kila picha tunayoweka hapa ni za zamani. Hiyo ni kuonyesha nini?Thread imekuwa chungu kwa wakenya
sasa naona Dharau zitapungua hahaha
Page ya kwanza BarabaraImekuwa chungu kivipi? Nyinyi ndio mnaonyesha uchungu kwa kupost picha za slums, kulalamika tunapoweka mabarabara, na kudai eti kila picha tunayoweka hapa ni za zamani. Hiyo ni kuonyesha nini?
wakati mnaanza kujenga flyover ya kwanza,tulishazisahau za thika road.saa ii tunaangalia outer ring road,southern bypass,jkia tp rironi which are all under construction.personal siezi poteza tym kulinganisha dar na nai.they are world apart.dar hamna lolote kando na iyo pspf na tpa...all the other buildings are dwarfs.alafu wenzako wanasema tupatane apa baada ya five years....hehee.every sane person knows by then hamtakua na ubavu wa kuitaja nai pamoja na dar.ndio tutakua tumewazika kabisaI was at the airport yesterday picking my guest at 2:15 Am, Then I Saw someone with a board reading yapi merkezi , then I remembered someone telling me our SGR is still not very clear, I felt so good because I was the only one who can understand that. Kama jamaa alivyo sema hapo juu, Dar inaifanya Nairobi ipumulie mashine, Hahaha, Noma sana , Kama Mimi hata nisingepoteza muda wangu kufananisha nairobi na dar kwa jinsi mlivyo to na nyodo utafikir maendeleo hayo wamayafanya miaka ya sabini, Wangekua wanajishindanisha na Singapore, too bad, bado tunakula vumbi sambamba na Dar wanayoidharau, angalia hata barabara zao ambazo zilitakiwa zionekane world class, hivi hilo fuko la taka na vumbi linafanya nini kwenye hiyo Tunnel? Bado hamjishtukii tu Kama bado sana ? Projects that were supposed to look World class. Looking third world. Manyaya ya umeme kila kona Kama Kariakoo tu. Pumulieni tu mashine, Ngoja na sisi tuwe na hizo overpass sijui tutaringishiwa nini? Ila ni aibu kwa jinsi mnavyojifagilia bado mke busy kushindana na sisi
Page ya kwanza Barabara
umekuja wewe na barabara zile zile
Kaja mwingine Barabara zilezile
kaja mmoja kapost picha kurudia rudia zikaisha
Akaja kupost jengo la Nssf Mwanza kuwa ni Nairobi[emoji23] [emoji23] [emoji107]
Tuka mweleza Na Mwanza imekuwa Nairobi!!!
Wakaja kupost stesheni
wameachana dakika chache
ona hii
Hahaha sasa kama Mmeishiwa Mposti Kibera au Ikulu ya Kikuyu tujue
maana Nairobi ni ndogo sana
haijatanuka kama Dar
haina majengo mengi
pal...leave this guys alone.kama mtu anakosa kuelewa maana ya administrative boundaries utasumbuka kueleza bure.just say yes to plz the fool.nikama apo kwa boundary kumeekwa '"the great wall of china"'Nairobi metro 6.5M
Dar metro 4.4M
Alafu niskie sijui Dar ni kubwa 1590km2!!!
Hahaha yaani wewe unaijua dar kuliko wakazi wa dar siyo!!?pal...leave this guys alone.kama mtu anakosa kuelewa maana ya administrative boundaries utasumbuka kueleza bure.just say yes to plz the fool.nikama apo kwa boundary kumeekwa '"the great wall of china"'