Hapa umenena vema,jamani wakenya wabovuuu MWe!na mademu wazuri pia tulinganishe
Hehehehe ngoja tuwapunguze dharau hawa walishazoea kila kitu tanzania ni cha 90sIchoboy01 unanondo zakutosha sema unabonga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
annael msifikie uko twende kwa fact na sikwakurumbana punguzen emotionBasi enjoy ubungo flyover. Angalau sasa umeanza kidogo kidogo. Mwisho wa siku utanyosha.
View attachment 484240
oy depay nenden kwa ustaarabu mnapotupiana maneno mabovu haipendeziI Respect people who Respect back. Respect is earned. For sheepish fools like you and Annael... Muelekee Jiwe
Usiwaze kwanza kabla sijadondoka soma hapo naanza na real estate na usome uelewe kwanza fungua link usomeNakumbuka kwa upande wa malls battle ilienda vizur upande wa vyuo vikuu pia. ..kasheshe ni subarb. ..real estate nairobi mko vizur kwakwel...ichoboy01 kama unanondo za subarb dondosha
depay na annael punguzeni hizo emotion ....twendeni kiushindan tu pia na utani kidogo siyo kwa hyo style mnayoionyesha sote ni ndugu mkifanya ubaya wa aina hyo mnakuwa mnaiharibu hii battle hata watu wazima watashindwa soma na kuingia humu....kiukweli hii battle ni nzuri ila twende nayo kwa uzuri na si kwaubaya...tujengane na si kubomoana