NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Ni yeye hajatembea, there are numerous resorts on the Kenyan side of lake Victoria like this Takawiri Island. Also remember the section of the lake in Kenya is tiny compared to what is in Tanzania and Uganda.
Tanzania tupo pande zote mbili sasa wanatuweka njia panda,kwa Congo najua itakwenda SADC. Huyu mzee kaongozana na wabunge zaidi 100 kwenda Ethiopia kwenye kampeni si ufisadi tupu na akipata itakuwaje afadhali adondoshwe tu😁😁Hapa nilipo nachekea chooni 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
SADC Ina nguvu kuliko EAC,and mind you wakundustan,Tanzania has more influence in SADC than any country in it.
View attachment 3235784
Wewe huoni vile wasukuma na wanyamwezi wamesimama wakitazama yanga na simba hapa?Nani kakwambia Dodoma stadium haitokua na vitu we kasongo.? 🤣🤣🤣
Constructors ni Europeans, Italians nafikiri hii pekee inatosha kukuambia wewe ni taahiraWewe huoni vile wasukuma na wanyamwezi wamesimama wakitazama yanga na simba hapa?
View attachment 3236124
This is what happened to it, in case you forgot or you aren't from ZanzibarWith Good reason , what happened to that unfortunate wretched sub_standard port constructed in a God forsaken ghost haunted shores of west Indian ocean? Constructed by Chinese aid nonetheless.
They said it was meant to transship cargo from all the seven seas to Zanzibar,
However,the very last time we checked it was ferrying donkeys to the eastern seas and the red sea.
No one talks of it anymore I wonder.
Kitu Gani kimeikumba bandari fukara ya Lamu ? Msijifanye mnajisahaulisha
View attachment 3235926
So European stadiums don't have seats wewe mnyamwezi?Constructors ni Europeans, Italians nafikiri hii pekee inatosha kukuambia wewe ni taahira
Ukijifanya hamnazo utabaki kuwa hamnazo 😂The render posted today just shows people standing na hakuna viti anywhere around the stadium.
wewe ni mpumbavu wa mwisho acquire inatokana na neno Acquisition, a business term! A business transaction that involves a transfer of owneship of companies, business organizations, or their operating units! Sasa sijui unanifundisha nini mimi nyoko wewe! Huyo Mpumbavu wenu alikuwa na nafasi ya ku-negotiate na Wachina badala ya kuvunja mkataba! Sasa tunaletewa Wahab kumiliki bandari zetu!We nawe kuna kitu ulifanywa na wasukuma maana lolote ukilisikia unawashwa.
Njia gani za kiuchumi wakati wanasema "ACQUIRE" unaelewa hata hilo neno.
Kama mnaona aliharibu fanya mpeleke bungeni ile sheria yake ya 2017 ya Permanent Sovereignty over natural resources ili "WAWEKEZAJI WENU PENDWA" Wawe free kumiliki kila kitu na kufanya watakavyo.
Ovyo sana. Badala ya kufocus major resources kuwa chini ya serikali hata kama ni kwa uwekezaji ila usizidi mpo kupigia kila kitu kofi kisa tu hammpendi aliyezuia.
Baadae nione mnalia eti mbona vitu vinakwama ikiwa kila vyazo vya mapato mpo mnagawagawa tu.
sasa hizo nyumba za tope ndio unafananisha na what Mwanza has to offer?Ni yeye hajatembea, there are numerous resorts on the Kenyan side of lake Victoria like this Takawiri Island. Also remember the section of the lake in Kenya is tiny compared to what is in Tanzania and Uganda.
Sawa.wewe ni mpumbavu wa mwisho acquire inatokana na neno Acquisition, a business term! A business transaction that involves a transfer of owneship of companies, business organizations, or their operating units! Sasa sijui unanifundisha nini mimi nyoko wewe! Huyo Mpumbavu wenu alikuwa na nafasi ya ku-negotiate na Wachina badala ya kuvunja mkataba! Sasa tunaletewa Wahab kumiliki bandari zetu!
Sasa daily dose imegeuka kuwa monthly dose ha ha ha upuuzi mtupu😎Daily Dose
View attachment 3235941
Tulia mzee hivi vitu vinaumiza roho!Sawa.
Takawiri Victoria Sands, Rusinga Island, Homa Bay countysasa hizo nyumba za tope ndio unafananisha na what Mwanza has to offer?
Naona unakaficha ficha, ka hotel kenyewe ni haka 👇🏾
Ulitaka itoshane aje?Naona unakaficha ficha, ka hotel kenyewe ni haka 👇🏾View attachment 3236243🤣🤣🤣
Hako ni kadibwana kadogo, you don’t have to brag.Ulitaka itoshane aje?
We nawe unakuaga kama fala, Kasongo mnuka nnya anakubeba ufala mpaka unaiga kila anachosema.Wewe huoni vile wasukuma na wanyamwezi wamesimama wakitazama yanga na simba hapa?
View attachment 3236124