Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongolala, nilikuuliza kama hiyo ndio Google eath. Wacha kujiliwaza na hiyo mabati rolling mills. Jibu swali. Ndio au la?
Tuambie, umeachana na battle na unaanza kupiga umbea? Wana JF wanataka kuona JKIA yote; unaogopa kuweka picha?
 
Nilitaka nishangae, KQ kwa pesa gn walizonazo wanunue ndege mpya, kuna mnuka nnya mmoja kakuomba ushahidi 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…