Since 2021.Kenya has no FIFA Approved Stadium. Alisikika The best 007 aka watchman wa usiku akisema.
View: https://x.com/EricNjiiru/status/1893653774025056589
Na wapo wanatamba wana highest beef consumption. Punda???Hizi nyama ni menu ya Nairobi's squatter settlement (KIBERA), world's most populous slum/shanty town ,na ni wapiga kura wanoishi Nairobiπ π
Watu wanauliwa Turkana punguza adjectives.
I want to show you if you have any brains as you claim , you wouldn't agree to those bogus number
Keyword βis now approved to host international matches. First game at home since 2021β πππSince 2021.
Okay hiyo stadium ilikua na match gani za FIFA 2022, 2023, 2024?
Na ulikua hapa unabisha una mpaka taa na taa zinawekwa 2025???
They simply replaced the lights. Dunce.Since 2021.
Okay hiyo stadium ilikua na match gani za FIFA 2022, 2023, 2024?
Na ulikua hapa unabisha una mpaka taa na taa zinawekwa 2025???
lamu size yake ni bandai ya kilwaπ₯π₯π₯π₯π₯π₯
View attachment 3247821
πππππππ
View attachment 3247823
View attachment 3247824
πππ₯π₯ tafuta Tanga port na Mtwara port upate makasiriko πππ
Una picha ya Nyayo with light before this CHAN renovation.They simply replaced the lights. Dunce.
Una picha ya Nyayo with light before this CHAN renovation.
Na una picha za any games played night huko Kenya before this CHAN renovation hapo Nyayo? 2024, 2023, 2022?
Akileta mwambie alete proof ya mechi za usiku pale Ukunduni!Una picha ya Nyayo with light before this CHAN renovation.
Na una picha za any games played night huko Kenya before this CHAN renovation hapo Nyayo? 2024, 2023, 2022?
nani amekataza kukopa, unakopa unajenga nn ?? kodi kila sehemu zinafanya kazi gani?? kodi za miamala ya simu zinafanya shughuli gani, kodi za mafuta 22 zinafanya nn, kodi ya ardhi kwenye kila luku meter zinaenda wapi??ichoboy01 atasema tumekopa sana na hajui zinakotumika ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DGc9VuUoe-u/?igsh=OXd1ZDdqNGxodDQw
Hata Mimi sijui ππππnani amekataza kukopa, unakopa unajenga nn ?? kodi kila sehemu zinafanya kazi gani?? kodi za miamala ya simu zinafanya shughuli gani, kodi za mafuta 22 zinafanya nn, kodi ya ardhi kwenye kila luku meter zinaenda wapi??
kwann ukope trillions of money wakat unakusanya trillions of money ππππ, in just 3 yrs tumekopa over 50 trillion, alaf tukikaa hapa tusifiane tu bila kuulizana
very simple logic huhitaji hata kua na degree of rocket science
hujui au sio πππππ alaf tunajisifu tunakusanya kodi za kutosha, mambo ya msingi yanatutoa kamasi alaf tunakimbilia kila siku kuanzisha miradi ili watu wapige 10% zao mapema alaf mwisho wa siku mradi wa miaka miwili unamaliziaka miaka 7Hata Mimi sijui ππππ
View: https://x.com/nirc_tz/status/1893971877791490323?t=pX0NOH9GqvJMikLqDx7zJQ&s=19