Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kama na nyinyi ambavyo mnachukua negativity ya Samia na kikwete mnasahau kuwa kipindi cha magu karibia Kila kitu kilisimama ikabaki miradi michache ya kuonesha
Karibia kila kitu?

Itakua hunifatilii mzee ungekua unafatilia toka niko humu 2017 usingecomment hivi.

Hata kipindi cha mzee nilikua against nae baadhi ya mambo moja kubwa hawa machinga wehu.

Unaweza share hivyo vitu vilivyosimama tuvijue?
 
Jana mmepost humu kwamba Burna Boy mwenyewe kaja na sound system yake. Leo hiyo hiyo sound system ya Burna Boy mnaitumia kuiponda Kenya. Mbona msimponde huyo Burna Boy mwenyewe mwenye mlisifia kwa kuchagua kuja na system yake mwenyewe?
Kwahiyo unataka kusema Burna boy kabeba speakers zotee za kwenye hall? Wacheni unyoko wa kumsingizia hizo speakers zitakuwa kutoka Githurai!
 
Kwahiyo unataka kusema Burna boy kabeba speakers zotee za kwenye hall? Wacheni unyoko wa kumsingizia hizo speakers zitakuwa kutoka Githurai!
Mkisema jana amekuja na sound system mlikuwa mnamaanisha speaker zote ama? Halafu hiyo sound system ingekuwa poa mngecredit Kenya ama Burna Boy. You're very useless Geuza.
 
Do you see old town architecture hapo au you are naturally stupid?
Ilete ile picha bila filter want to show something. 😆
So filter ndio imeweka hizo magorofa hapo? Filters ndio imechange architecture za hizo buildings from old to modern?

Which genera of the baboon family are you?
Mbona una hasira.? 🤣🤣
 
Unaogopa Mombasa mpya, imebidii utafute picha za Mombasa old town ujiliwaze na bado hata hio old town bado iko sawa sana.
Mombasa old town is a preserved ancient area of Mombasa and it's one of the most beautiful places in East Africa. Hawa wajinga wakiona picha kuukuu za juu wanadhani ni mahali pa ovyo. On ground huwezi pata mahali pazuri kama Old Town Bongolala. Barabara zote paved, nyumba zote historical.

 
Kwanini wewe unapenda kujidanganya. .? 🤣🤣🤣🤣. Wenzako ni wajinga ila wewe ni mpumbavu.
 
Wanadhani Old Town is equivalent to their uswazi hovels and brothels.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…