Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Mall gani inakuwa high rise hivi?? Itabidi badala ya escalators wa weke lifts!!
Sasa wewe zenu za kishamba zimejengwa wakati wa mkoloni utalinganisha na hizi za kisasa. Ondoa ushamba wako wa Mathare. Mbona umeanza kulia lia. Sindano inakuingia?Mall gani inakuwa high rise hivi?? Itabidi badala ya escalators wa weke lifts!!
Ety wakati wa ukoloni hahahaha wacha bangi wewe.Sasa wewe zenu za kishamba zimejengwa wakati wa mkoloni utalinganisha na hizi za kisasa. Ondoa ushamba wako wa Mathare. Mbona umeanza kulia lia. Sindano inakuingia?