ooh now be even more stupid and assume very intimate stuff like where I live and my age. It definitely paints Dar's education system in good light.
Nice [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Nyang'au kwa tambo [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
izo za Dar kumbe zinakasoro gan? ??
Naicheki mkuuHebu check video hapo juu nimeiweka.
We bana wee, acha vichekesho, how can news spread on internet mobile in countries like Tanzania? Even South Africa is a problem, countries with mobile internet penetration below 60% rely on media channels, the is no country with people clued on twitter and facebook in Africa like Kenya! The KOT!!Je, unaweza kuniambia ni nchi gani Africa taarifa haziendi haraka kwenye mitandoa ukilinganisha na TV? Niambie hiyo nchi na ukaona ni news kwetu kuiweka hapa. Kitu kikiwa cha kawaida huwa sio News.
Mbwa kumg'ata mtu sio news lakini mtu kumg'ata mbwa ni news.
Kwa mfano title imeandikwa
1. Mbwa amemg'ata kijana mmoja.
2. Kijana mmoja amemg'ata mbwa
Ipi itakuwa news?
Tatizo wewe huna akili. Ujinga na upumbavu unakusumbua. Wewe kati ya JF na JamiiForums.com ni media ipi yenye views na member wengi. Mbona dogo tu hilo unashindwa?We bana wee, acha vichekesho, how can news spread on internet mobile in countries like Tanzania? Even South Africa is a problem, countries with mobile internet penetration below 60% rely on media channels, the is no country with people clued on twitter and facebook in Africa like Kenya! The KOT!!
Look what sources say
CNN executive flies to Kenya to apologise for 'hotbed of terror' claim
Top 10 African countries with the most Facebook users | IT News Africa – Africa's Technology News Leader
Kenya is second most active on twitter in Africa: survey
This shows you that Kenya can communicate well online! Not all countries including TZ, with 15% mobile penetration! Mbona huelewi????
Nawe bana you are basically naive! Eti pressure, Even Nigeria cant give us pressure, only South Africa, Tanzania tunajadili tu kama majirani sio eti kuna kitu we can compare to on a serious note or copy from! So usiwe na shaka na sisi!mnawapa presha ya bure ndugu zetu wakenya.waacheni kwanza wamalize uchaguzi kwa amani
Hahahahah! Na wewe usumbukuku umekutuma kulinganisha twitter na Jamii forum? Are you for real! So in Tz you use Jamii forum to communicate lo!!!! You make my evening!!Tatizo wewe huna akili. Ujinga na upumbavu unakusumbua. Wewe kati ya JF na JamiiForums.com ni media ipi yenye views na member wengi. Mbona dogo tu hilo unashindwa?
Nimekuambia wewe ni mshamba na mjinga. Upo empty kichwani.Nawe bana you are basically naive! Eti pressure, Even Nigeria cant give us pressure, only South Africa, Tanzania tunajadili tu kama majirani sio eti kuna kitu we can compare to on a serious note or copy from! So usiwe na shaka na sisi!
Mtu akisoma maneno yako atajua wewe mwehu wakuzidi! Nini kinakusebedua na Nigeria?? umebanua??? Ama ni kiwewe tu??Nimekuambia wewe ni mshamba na mjinga. Upo empty kichwani.
GDP ya Naigeria ni $250b ya kenya ni $69. Sasa unapojishebedua kama mwehu vipi. Ficha upumbavu wako. Vitu vingine ishia kuviweka moyoni sio kuonesha ujinga wako hadharani.
Wewe nimesema akili ni fupi. Nimekwambia JamiiForums.com na JF. mbona huendi kwenye social media ya nchini kwenu? Tatizo ukabila. Wewe nimekwambia ni punguani.Hahahahah! Na wewe usumbukuku umekutuma kulinganisha twitter na Jamii forum? Are you for real! So in Tz you use Jamii forum to communicate lo!!!! You make my evening!!
I can se foam from ur big mouth. Kwikwikwi. Nchi yenye slums kubwa duniani kote uringanishe na Naigeria. Naigeria is a top giant in Africa. Wewe endelea kukenua kenua meno huko samburu. Na kujipa sifa za kijinga. Unajua wakenya wenye sifa kama zako ni wehu vichwa vyao ni empty.Mtu akisoma maneno yako atajua wewe mwehu wakuzidi! Nini kinakusebedua na Nigeria?? umebanua??? Ama ni kiwewe tu??
Wewe si jana ulisema unaenda Nairand vipi tena? Au huko JamiiForums.com kuchafu mbona unakimbia kimbia kama hazimo. Hujui JF ni mtakuja?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nairaland---Nijeria
Jamii forums-- Tanzania
Ukabila Forums--Kenya
Hahaha wachana kujisumbua na vikaragosi
Mimi nakuambia mfunzwe hisabati huko kwenu huenda mnaweza fikiria kama watu!I can se foam from ur big mouth. Kwikwikwi. Nchi yenye slums kubwa duniani kote uringanishe na Naigeria. Naigeria is a top giant in Africa. Wewe endelea kukenua kenua meno huko samburu. Na kujipa sifa za kijinga. Unajua wakenya wenye sifa kama zako ni wehu vichwa vyao ni empty.
Dogo mbona unasumbuka sana.Mimi nakuambia mfunzwe hisabati huko kwenu huenda mnaweza fikiria kama watu!
Sababu hamjafunzwa, wacha nichukue jukumu lakukufunza
Country Population GDP(USD) Individual worth (USD)
Kenya 40,000,000 69,000,000,000 1,725
Nigeria 174,000,000 250,000,000,000 1,400
Tanzania 50,000,000 58,000,000,000 1, 160
Do you get it now?
Dogo soma hapaAnd this year May we start exporting oil and our net value goes to 2,000 and above, while you will be at the same point of 1,200
Ana chuki na wabongo km alivyokuwa na chuki na wajaluo,lile kikuyu jinga sanaNakuona unahasira sana. Ngona nikuache kidogo ili hasira zako zipo.
Maama mara unaleta picha za Malindi, Mombasa. Sisi hapa Tanzania kuna maeneo mengi tu.
Zaidi sana nimekuona unachuki sana na watanzania yaani umejaa unazi tu.
Hapa Tanzania kuna sehemu nyingi tu za mbuga. Mbona mkipost mbuga yenu ya Nairobi sisi tunakaa kimya na kukubali?
Iweje wewe unakuwa wa namna hii. Sisi kuna maeneo mengi tu hapa Tanzania
1. Zanzibar
2. Mafia
3. Serengeti
5. Ngorongoro
nk. Lakini hakuna hata picha moja tumepost tofauti na Dar es salaam.