Battle for economic supremacy in East Africa hots up

Wewe na makamasi yako tuonyeshe Bagamoyo yenu tucheke maana ilianza 10 years earlier than LAPSSET

Wasiwasi wako ni nn kuhusu bagamoyo wakat tanzania ina port 5 na zote ziko under expansioπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Wasiwasi wako ni nn kuhusu bagamoyo wakat tanzania ina port 5 na zote ziko under expansioπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
mwambie hyo...na wanataka tujenge vituo vya kisasa vijijini...hajui km hko pugu na soga kunaishi washamba...hatutaki vituo vyetu viwe vivutio kwa hao jama km ile mall ya mwanza wasukuma huenda outing kuitembelea...

yetu ni bullet train bwana...tutajenga station moja kali dar kw wanaojielewa wala sio soga na pugu kw washamba
 
So wewe ulitaka tujenge kituo cha 1m passengeres pugu wakat kuna 200k passengers au unafkiri sisi tunapoteza pesa za tax payers ovyo tu, subiri uone station ya dar , dom na morogoro ndio utafahamu maana ya the modern electric bullet train
 
nyangau sasa tunawapita kama wamesimama
 
Indeed this is an UPSET. I will contact oxford to put this project as an example when defining the word UPSET in their new edition of Oxford dictionary.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hapa hukuwa umejua Bagamoyo ita angukia puaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wacha hata Mimi nitafute kwa kamusi maana yake BWAGAMOYO.
 
Sasa mbona South Africa haiwasaidii baada ya kuikukomboa? Si unaona ujinga/ubongolala wenu, mbona mnatumia kichwa Kama mfuko wa kubebea meno?
Sasa unakaka kutudanganya Nchi zote LDC ni zile zilipigania Uhuru wa Afrika?? Nyerere, CCM na ujamaa ndio sababu kuu Tz kuwa Nchi masikini na ya Kishamba.
 
Huaga wanawaua km kuregesha fadhila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…