ulijuaje kama ni cheti chakeMbona alishaanika cheti chake humuu
But ulishawahi kukithibitisha ni chake as long hakina jinaMbona alishaanika cheti chake humuu
Mi hua najisemea kua nakesha sana jf kwakua sina kazi. Na wenzangu ni hivyo hivyo?
But ulishawahi kukithibitisha ni chake as long hakina jina
Mm iliamini tu kua ni chake as long as hainipunguzii wala kuongeza kitu yy ndo anajua ukweli. Naweza amini ww ni me kumbe keulijuaje kama ni cheti chake
Mtu mwelevu hawezi kuwa na sifa za kijinga, jamaa anajua ndio maana hata hana time nae ila yeye ndio anamwandama. Ndio maana nikasema kama kweli hiyo elimu anayo atakua aliipata kwa bahati mbaya na ukute haimsaidii lolote zaidi ya misifa ya hapa JF tu.Uzur adui ake hana habari kabsa na yeye.
Hahahaha haya mpiga kura ngoja tuendelee na mtanange.Mm iliamini tu kua ni chake as long as hainipunguzii wala kuongeza kitu yy ndo anajua ukweli. Naweza amini ww ni me kumbe ke
Ah ah ah ah ah ah nimejikuta nachekea tumbo tuuuHaya mambo mkuu yaache tu na watu wenye sifa kama hawa ukiwakuta maisha yao hadi huruma.
Basi mkuu tuendelee na zoezi la kuhesabu kuraMm iliamini tu kua ni chake as long as hainipunguzii wala kuongeza kitu yy ndo anajua ukweli. Naweza amini ww ni me kumbe ke
Aitheeee nshakuwa pugi tena astaghfirullah.....acha UNAFIKI wa KIPUGI na wewe...
kama unawashaa kubweka bweka, uone reaction yangu. simple like that.
Jamaa hakawii kukwambia wew pugi DaaaaUnanichekeshaga sana
NisameheAitheeee nshakuwa pugi tena astaghfirullah.....
Kwasisi watu wenye busara zetu huwa tunasema Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Sema na wewe jamaa mfitini bado umekomaa kufitinisha wakati Humble African yupo ibadani sasa hivi...CCNP Engineer unamzungumziaje Humble African performance yake humu jamvini ukiacha taaluma zenu za shule na visomo,hapa namaanisha michango yenu humu ktk majukwaa mbalimbali
Mwanaume mwenye tabia za kike kike sina hakika sana na ichi nilicho kisema ila nadham kinaendanaNisamehe
Pugi maana yake nini?
HahahaahhaahUmeacha kubet engineer!?..
Haahahamkuu m HACK tu huyo Humble African ashike adabu huyo...lol
Sikuiona coute yako mkuu,mi sio mfitishaji mkuu mi ni promota coz kwa yanayoendelea kati ya hawa jamaa nadhani hii ndo njia sahihi maana haiwezekani wachafue nyuzi za watu bora niwaandalie ulingo wao hapa wajimwage.Kama hujaona pitia baadhi ya post za leo za wahusika.Sema na wewe jamaa mfitini bado umekomaa kufitinisha wakati Humble African yupo ibadani sasa hivi...
Namuelewa sana Humble African jamaa ana 'exposure' sana na vitu vingi japo sijasoma nyuzi zake nyingi.