BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

@Beef lasagna na wenzako leo mmenifurahisha sana na mmedhihirisha wanawake ni jeshi kubwa sana. I promise kuna siku nitawatoa out for good vacation tupate Bonge moja la supper tukifurahi na Ku enjoy pamoja.

One day! I really wish hii.
Mkuu hujawatoa out tu mpk Leo??
 
Kama uliyasoma na ukafaulu sina neno na wewe(respect kwako)..
Lkn kama uliambiwa basi mwambie aliekwambia Mungu anamuona
Na kweli mungu anamuona kwa kweli,,,maan sio kwa msoto ule wa physi. saiz shule imeisha maisha yameanza ndo utata ulipo dadeki.

Bila hela uku mtaan unaonekana koro tu yaan sijui ndo unakua pugi
 
Kwan icho cheti ni tofaut na kile wanachotoa erb?
 
Ha ha ha braza kumbe mpinzani wako akiangusha round ya kwanza tena kwa k.o unafungua shampeni?
 
Aisee,mpaka kuusoma huu Uzi ilibidi nipate connection,baada ya kuufuatilia tangu mwanzi hadi mwisho nimegundua yafuatayo;

[emoji819]Hata kama hatufahamiani ni vizuri kuheshimiana,dharau na kejeli sio nzuri

[emoji819]HKL sio watu wazuri[emoji3]

[emoji819]JF sio ya mchezo mchezo ni ya moto[emoji91]

Mwisho huyu jamaa@Humble African nampa heshima zake,nimeanza kusoma mada zake kabla hata sijajiunga humu

One of the best


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1549]‍♂️[emoji1549]‍♂️


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawa wahuni nahisi washapata ajira maana si kwa ukimya huu..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…