BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Usje ukaniharishia uharo wa mavi ya mbuzi bureee... Kisa tu nimekataa kuja kukupanda... Hata ujinyee vipi nimesema hivi sitokuja kukupanda mchana kweupe namna hii, naona aibu kumpanda mwanaume mwenzagu, jamii itanichukuliaje.
hahahahaa naona unaleta vi maneno vya kishamba shamba bila shaka utakuwa na muda mfupi toka utoke kijijini kuja mjini ndio maana umedaka hivyo vi maneno.

Nauna jinsi ulivyokua na uzoefu wa kumwaga uharo unavyoingiziwa chuma ndio maana unaotaota hata mchana hadi unatuandikia hapa, lakini tu kwa kukushauri achana na upunga huo unaharibu afya yako bure.
Fanya kazi mtoto wwa kiume hayo maneno waachie dada zako. Unataka kushindana na wanawake vijinenoneno hivyo. Usijali lakini biashara uliyoichagua siwezi jua labda inalipa we endelea nayo.
 
hawa HKL , HGK , KLF N.K wasoma mofimu na mufekane war wasijilinganishe na vichwa vya PCB ,PCM NA PGM wataumia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kipi bora usome H kunani uishi maisha mazuri na yasiyo na stress au usome P something uwe na lundo la stress?
 
Mimi nilikua na ndoto za kua porn actor hata arts kwenda ilikua ni bahati kwangu.
 
Kipi bora usome H kunani uishi maisha mazuri na yasiyo na stress au usome P something uwe na lundo la stress?
Bora ni kuishi dreams zako..
PCM NA PCB wanaishi dreams zao lakini HKL,KLF na H.... wanasoma hayo madude sababu kombi kali kali hazijabalance
 
Bora ni kuishi dreams zako..
PCM NA PCB wanaishi dreams zao lakini HKL,KLF na H.... wanasoma hayo madude sababu kombi kali kali hazijabalance
Sasa kama P something wanaishi dreams zao why wanakuwa overstressed?,hv unajua kuwa walevi wengi wa kutupa wako huko na yote ni kutokana na hz stress.
 
Sasa kama P something wanaishi dreams zao why wanakuwa overstressed?,hv unajua kuwa walevi wengi wa kutupa wako huko na yote ni kutokana na hz stress.
Hadi Rais wa nchi anakuwa stressed ,kazi zinazotumia akili nyingi lazima zichoshe na watu wapo duniani kwa ajili hio (wawe stressed ili average minds ziishi kwa amani na raha)
Kwahio mkuu usidhani P.... wakati wanasoma hawakua wanajua huko mbele watakutana na kazi ngumu zisizo na maslahi
 
Mkuu hawakuwa wanajua kabisa na wengine walisoma kutokana na sifa tu sasa leo yanawakuta ndo haya unayoona yanawatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…