D
Na ndie ninaemsubiriUsijali najua contestant mwingine yuko on the way sasa hv
Siku nilikuwa bize siku mbili sikuingia jf yaani simu ninayomkononi lakini hata dkk kumi zakulililaksi sina nikawakumbuka ma jobles wenzangu hahaaaaaaaMi hua najisemea kua nakesha sana jf kwakua sina kazi. Na wenzangu ni hivyo hivyo?
Jf ingekuwa ajira tungekuwa matajiriSiku nilikuwa bize siku mbili sikuingia jf yaani simu ninayomkononi lakini hata dkk kumi zakulililaksi sina nikawakumbuka ma jobles wenzangu hahaaaaaaa
We jamaa una majigambo aisee......anyway mi sipo kwenye huo mchuano wenu napita tuJina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Njoo upige kura mkuu usipite tuWe jamaa una majigambo aisee......anyway mi sipo kwenye huo mchuano wenu napita tu
Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela wanakuwaga simple sababu wanajua kwamba wewe unajua wana hela hivyo hawana haja ya kutafuta attention kupitia maneno au bling ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected. They know you know their situation.Kura yangu nitapiga waki_Screen Shot Salio linalosoma kwenye Simu Banking kwa USSD *150*XX# hiyo XX inategemea na BANK gani.....Hiyo Screen Shot ionyeshe Juu mda unaoendana na post yake eg Post nayoweka ni ya saa 2:01 PM kwahiyo hiyo simu banking screen shot ionyeshe labda 13:58 au 13:59
Hahahaaa heshima pesa mkuu ndio maana sijauliza wewe uweke Point 3 ubaoni ,nimeuliza Accounts ndio jambo la msingi,kibongo bongo kuwa na "MKEBE" na Account ikiwa na 5m ni tajiri,Ngoja nisubiri Majibu ya Engineer ,Kisha nipige kura.Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827603View attachment 827601View attachment 827602
Mkuu kufanya hivyo ni vizuri maana ina encourage watu nao wapambane ndugu yetu msando anasema ,Get angry,Be Inspired,It can be you.Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF
Duuuh nyie watu siwawezi aisee ila huyo jamaa yako duuuh!! Nikomee tu hapo!!Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827603View attachment 827601View attachment 827602
Ngoja huu msemo niuchukue kabisa aisee!!Mkuu kufanya hivyo ni vizuri maana ina encourage watu nao wapambane ndugu yetu msando anasema ,Get angry,Be Inspired,It can be you.
Mkuu umesema ndio unatoka church mida hii lakini hiyo picha inaonyesha ni usiku (refer taa inayowaka kwenye nyumba nyuma ya gari)Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827601View attachment 827602
Tunashukuru mkuu kwa kuibuka katika mtanange huu,tunakuomba utuelezee kidogo kuhusu huyu mpinzani wako maana promota nimetembelea baadhi ya nyuzi na kukuta mashambulizi kwako ni makali sana je una lolote la kuwaambia wapiga kura?Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827603View attachment 827601View attachment 827602
Aisee...nilijua ni utani wa hapa na pale kumbe hii mambo inaenda huk ktk kutuma hadi salio za benki...duh
Hahah eti tuwaombee amani yan nini akati mi nishanunua popcorn na coke bariiiiidihata mie nimeshangaa kweli kweli..tuwaombee Amani duh
Hahah eti tuwaombee amani yan nini akati mi nishanunua popcorn na coke bariiiiidi
Sio level zangu huyu jamaa.. Nimeamua Kumdharau tu kuanzia sasa.Hahah eti tuwaombee amani yan nini akati mi nishanunua popcorn na coke bariiiiidi
Pesa zawanaume wenzio we zaniniKura yangu nitapiga waki_Screen Shot Salio linalosoma kwenye Simu Banking kwa USSD *150*XX# hiyo XX inategemea na BANK gani.....Hiyo Screen Shot ionyeshe Juu mda unaoendana na post yake eg Post nayoweka ni ya saa 2:01 PM kwahiyo hiyo simu banking screen shot ionyeshe labda 13:58 au 13:59
Kwa hayo yanayoebdelea kutafutana ni rahisi mno. Hapo kuna access ya majina ya watu na a/c no. Kupatikana ni rahisi sana. But why????? Kutambiana ktk mitandao....kweli !!! If it was meant to be jokes, could have stayed that way for the best....mmnh haya...mpaka watafutane in real life wauwane wewe endelea kununua hayo ma coke baridiii